Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Messi:''Tetesi za kuhama ni porojo tu''

Mchezaji mahiri, Lionel Messi anasema kuwa atasalia katika klabu ya Barcelona baada ya kukanusha tetesi za watu kwamba yuko njiani kuondoka Barceola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Ray Kutoa Tamko Juu ya Tetesi za Kuhama UKAWA

Kufuatia tetesi kuenea mtandaoni kuwa staa wa Bongo Moveis , Vicent Kigosi ‘Ray ‘ amehama UKAWA “team mabadiliko” na kwenda upande wa CCM., Ray amepanga kuvunja ukimya na kutoa tamko lake rasmi juu ya swala hilo.

Kupitia ukursa wake kwenye mtandao  wa  kijamii wa instagram Ray ambaye amekuwa akishambuliwa na baadhi mashakibi wake kwenye mtandao huo wakidai kuwa amenunuliwa , aliandika haya;

“Nimeyasikia mengi sana kwenye mitandao ya kijamii ila nasema hivi nitatoa tamko langu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 10.04.2020: Messi, Grealish, Mbappe, Pedro, Coutinho

Mshambuliaji wa Barcelona na Argentina Lionel Messi, 32, amekanusha kwa kupitia mitandao ya kijamii ripoti kuwa ana mpango wa kuhamia klabu ya Inter Milan. (Instagram)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 22.06.2020: Jimenez, Kurzawa, Messi, Koulibaly, Vertonghen

Barcelona wameanzisha mazungumzo juu ya mkataba mpya wa mwaka mmoja kwa ajili ya Muargentina Lionel Messi, anayetimiza umri wa miaka 33 Jumatano wiki hii. (Marca)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka: Alhamisi 18.06.2020: : Messi, Ronaldo, Pedro, Fraser, Chilwell, Alaba

Barcelona to offer Lionel Messi new deal, Cristiano Ronaldo could join MLS club, plus more.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 13.05.2020: Bale, Ndombele, Sancho, Ighalo, Pogba, Messi

Newcastle wako tayari kutumia £53m kumpata mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale, 30, mpango ambao ukifanikiwa utamrejesha ntota huyo katika ligi kuu ya England msimu huu

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumanne tarehe 02.06.2020: Messi, Willian, Werner, Ighalo, Luiz, Wilson

Chelsea wanafikiria kubadili uamuzi wao kwa kumsaini mshambuliaji wa RB Leipzig Timo Werner,24, ikiwa Mjerumani huyo ataonesha nia utayari wa kuhama. (ESPN)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 20.02.2020: Messi, Sancho, Werner, Jesus, Icardi, Kai Havertz,

Timo Warner asema huenda hayupo tayari kujiunga na Liverpool licha ya kuisifu kuwa "timu nzuri zaidi duniani."

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 14.02.2020: Dembele, Henderson, Mbappe, Messi, Grealish, Martinez, Carroll

Pep Guardiola amedai kwamba Manchester City huenda ikamfuta kazi iwapo watashindwa kuilaza Real Madrid katika kombe la mabingwa Ulaya. (Guardian)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 24.02.2020: Tetesi za uhamisho wa Zlatan, Smalling, Mkhitaryan, Phillips, Kostic

Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa klabu wa AC Milan Paolo Maldini anasema Mswidi Zlatan Ibrahimovic, mwenye umri wa miaka 38, amefanya marekebisho ya kipengele cha mkataba wake iwapo Wataliano watafuzu kuingia Championi. (Mail)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani