Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mexico kujadili kuhalisha bangi au la

Rais wa Mexico, Enrique Pena Nieto, anasema kuwa ataanzisha mjadala wa kitaifa kujadili iwapo wanainchi wanataka baingi iidhinishwe au la.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mexico yahalalisha bangi kwa watu 4 tu

Mahakama kuu nchini Mexico imetoa amri ya kuliruhusu kundi la wanaharakati kupanda na kusambaza bangi kwa matumizi yao wenyewe.

 

9 years ago

GPL

MEXICO YAHALALISHA BANGI ITUMIKE KWA WATU WANNE TU

Mahakama Kuu nchini Mexico. Mwanaharakati anayeunga mkono matumizi ya bangi nchini Mexico, Lucha Libre aliyevaa Maski, akishangilia mara baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuruhusu matumizi ya bangi. Mmoja wa wavuta bangi raia wa Mexico akivuta msokoto wa bangi nje ya jengo la Mahakama Kuu ya nchi hiyo jana. Mmoja wa wanaharakati na watumiaji wa zao la mmea wa bangi.… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Cameroon 0 Mexico 0

Mchuano wa kwanza ukihusisha timu ya Afrika umeanza nchini Brazil. Vijana wa Cameroon dhidi ya Mexico

 

11 years ago

GPL

BRAZIL 0-0 MEXICO

Kipa wa Mexico, Guillermo Ochoa akiokoa hatari langoni mwake. Neymar akijaribu kuipangua ngome ya Mexico. Warembo wa Brazil…

 

9 years ago

BBCSwahili

Colombia imehalalisha bangi

Rais wa Colombia ,Juan Manuel Santos, ametia sahihi sheria mpya inayohalalisha matumizi ya bangi kwa manufaa ya kimatibabu

 

9 years ago

Global Publishers

Mkulima wa bangi anaswa

Mtuhumiwa kilian Fussi akiangalia kwa uchungu wakati   askari polisi wakiteketeza shamba lake la bangiMtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi na pingu mkononi wakati askari aking’oa bangi hizo shambani.

Stori: Stephano Mango, SONGEA

KIBANO! Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limemnasa mkulima mmoja, Kiliani Fussi (pichani) kwa tuhuma za kulima bangi kwa kificho kwenye shamba lake maalum huku akijua ni kosa kisheria, twende na Risasi Jumamosi.

katikati rco ruvuma Revacutus Malimi, kulia Rpc Ruvuma   Mihayo Mskhela wakionyeshana bangi ilivyostawiPolisi wakijadiliana jambo

Zoezi hilo lilifanyika hivi karibuni ambapo mkulima huyo alishtukizwa na askari akiwa kwenye shamba hilo lenye ukubwa wa nusu eka ambalo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Punda wakamatwa na bangi

JESHI la Polisi mkoani Arusha, limekamata shehena ya magunia 20 ya dawa za kulevya aina ya bangi yenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 18 ikiwa inasafirishwa kwa punda huku...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bangi ni halali Washington DC

Mji mkuu wa Marekani Washington DC umehalalisha utumizi wa Bangi

 

11 years ago

BBCSwahili

Uholanzi kuvaana na Mexico

Uholanzi ilidhibitisha ni moto wa kuotewa mbali ilipoilaza Chile 2-0 na kukamilishi za makundi bila ya kushindwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani