Mexico yahalalisha bangi kwa watu 4 tu
Mahakama kuu nchini Mexico imetoa amri ya kuliruhusu kundi la wanaharakati kupanda na kusambaza bangi kwa matumizi yao wenyewe.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/bangi-mexico-5.jpg)
MEXICO YAHALALISHA BANGI ITUMIKE KWA WATU WANNE TU
Mahakama Kuu nchini Mexico. Mwanaharakati anayeunga mkono matumizi ya bangi nchini Mexico, Lucha Libre aliyevaa Maski, akishangilia mara baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuruhusu matumizi ya bangi. Mmoja wa wavuta bangi raia wa Mexico akivuta msokoto wa bangi nje ya jengo la Mahakama Kuu ya nchi hiyo jana. Mmoja wa wanaharakati na watumiaji wa zao la mmea wa bangi.… ...
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Mexico kujadili kuhalisha bangi au la
Rais wa Mexico, Enrique Pena Nieto, anasema kuwa ataanzisha mjadala wa kitaifa kujadili iwapo wanainchi wanataka baingi iidhinishwe au la.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a0oPnqdsDRY/U09qvFIk2rI/AAAAAAAFbco/7QqqkxsarzI/s72-c/unnamed+(80).jpg)
watu watatu mbaroni kwa kukutwa na bangi ndani ya basi la new force dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-a0oPnqdsDRY/U09qvFIk2rI/AAAAAAAFbco/7QqqkxsarzI/s1600/unnamed+(80).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pqfbYhGJkxs/U09qvBT5DqI/AAAAAAAFbcw/Vi92WzBnyvU/s1600/unnamed+(81).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N4sN91wd6w8/U09qvdy619I/AAAAAAAFbcs/8ZS_1MDZdEg/s1600/unnamed+(82).jpg)
11 years ago
Bongo508 Jul
New York yahalalisha matumizi ya Marijuana kwa matibabu
New York imekuwa ni jimbo la 23 nchini Marekani kuhalalisha ‘Medical Marijuana’ kwa matumizi ya matibabu, kwa mujibu wa NBC New York. Sheria hiyo mpya itaanza kufanya kazi ndani ya miezi 18. Wagonjwa watakaoruhusiwa kutumia marijuana kama tiba ni pamoja na wale wa magonjwa kama Cancer, epilepsy na Ukimwi. Medical Marijuana itakuwa ikitolewa kwa mifumo […]
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Miili ya watu 19 yagunduliwa Mexico
Miili ya watu wapatao 19 imepatikana katika jimbo la Mexico la Guerrero, ambako wanafunzi 43 walitoweka mwaka jana.
10 years ago
BBCSwahili23 May
Zaidi ya watu 40 wauawa Mexico
Takriban watu 43 wameuawa wakati wa ufyatulianaji wa risasi katika jmbo la Michoacan nchini mexico.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eRiVXDIl5dE/U5tHtaBRYXI/AAAAAAAFqb8/oSTNl6ktnl0/s72-c/New+Picture+(1).bmp)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOKHtCglVzbj2xauKpCAOdisxFtoyb1hWatny5jh*5SnATyOhDZa6vS-uSx*dFdOhNnownd9GG-uW0eiVcu2aprT/FERUZ.jpg?width=650)
FEROOZ MBARONI KWA BANGI
Na Issa Mnally
NYOTA aliyetamba katika muziki wa kizazi kipya enzi hizo akiwa na Kundi la Daz Nundaz, Ferooz Mrisho, juzikati alikamatwa na polisi na kutupwa lupango katika Kituo Kidogo cha Mabatini, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, baada ya kukutwa akivuta bangi pamoja na vijana wenzake kadhaa maeneo ya Sinza, karibu na Baa ya Meeda. Mwanamuziki Ferooz Mrisho akiwa mikononi mwa polisi baada ya kunaswa akivuta bangi. Habari...
10 years ago
BBCSwahili24 May
Ireland yahalalisha ndoa za jinsia moja
Waziri mkuu nchini Ireland amesema Ireland imetoa ujumbe mkubwa baada ya kupiga kura kwa wingi kuhalalisha ndoa za jinsia moja.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania