Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New York yahalalisha matumizi ya Marijuana kwa matibabu

New York imekuwa ni jimbo la 23 nchini Marekani kuhalalisha ‘Medical Marijuana’ kwa matumizi ya matibabu, kwa mujibu wa NBC New York. Sheria hiyo mpya itaanza kufanya kazi ndani ya miezi 18. Wagonjwa watakaoruhusiwa kutumia marijuana kama tiba ni pamoja na wale wa magonjwa kama Cancer, epilepsy na Ukimwi. Medical Marijuana itakuwa ikitolewa kwa mifumo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mexico yahalalisha bangi kwa watu 4 tu

Mahakama kuu nchini Mexico imetoa amri ya kuliruhusu kundi la wanaharakati kupanda na kusambaza bangi kwa matumizi yao wenyewe.

 

9 years ago

GPL

MEXICO YAHALALISHA BANGI ITUMIKE KWA WATU WANNE TU

Mahakama Kuu nchini Mexico. Mwanaharakati anayeunga mkono matumizi ya bangi nchini Mexico, Lucha Libre aliyevaa Maski, akishangilia mara baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuruhusu matumizi ya bangi. Mmoja wa wavuta bangi raia wa Mexico akivuta msokoto wa bangi nje ya jengo la Mahakama Kuu ya nchi hiyo jana. Mmoja wa wanaharakati na watumiaji wa zao la mmea wa bangi.… ...

 

10 years ago

Michuzi

MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

10 years ago

GPL

MSUMBIJI YAHALALISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA

Wapenzi wa jinsia moja, wakitembea pamoja barabarani baada ya kuhalalishwa kwa sheria hiyo. Wakipita barabarani huku wakishangilia kupitishwa kwa sheria hiyo. Wapenzi wa jinsia moja…

 

10 years ago

BBCSwahili

Ireland yahalalisha ndoa za jinsia moja

Waziri mkuu nchini Ireland amesema Ireland imetoa ujumbe mkubwa baada ya kupiga kura kwa wingi kuhalalisha ndoa za jinsia moja.

 

9 years ago

Michuzi

Jopo la UN linaloongozwa na JK lakamilisha kazi yake New York, Jijini New York, Marekani

Jopo la Watu Mashuhuri la Umoja wa Mataifa la Kupendekeza Namna Bora ya Dunia Kukabiliana na Majanga ya Afya limekamilisha kazi yake wiki iliyopita jijini New York. Jopo hilo linaloongozwa na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete lilikabidhiwa jukumu hilo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki moon tarehe 2 Aprili, 2015 na kupewa muda wa kuanzia Mei hadi Desemba 2015 kukamilisha kazi yake.
Jopo limefanya mikutano minne na kukutana na wadau mbalimbali wa afya zikiwemo taasisi za Umoja wa...

 

9 years ago

Michuzi

African in New York Episode 25 Promo: Affordable Housing in New York: As A Tanzanian Immigrant, What do you need to know?


Ms. Afua Atta-Mensah is the Director of Litigation and Policy Safety Net Project at Urban Justice Center. She works to resolve affordable housing issues helping both Americans and immigrants to both know their rights and to be able to get justice if required.She has been working as an attorney for ten years specializing in housing issues here in New York. At the moment she is running for an unpaid position as a district representative of one of the districts of Harlem and she asks you to...

 

10 years ago

Dewji Blog

21 health benefits of “Marijuana”

Marijuana-Leaf

Despite the fact that the Drug Enforcement Agency categorizes marijuana as a schedule I drug, one that has no accepted medical use, a majority of Americans have thought medical pot should be legal since the late 1990s — and a majority now support recreational legalization as well.

Washington D.C. and 23 states have legalized medical marijuana (that number is 35 states if we count laws with very limited access).

Even the NIH’s National Institute on Drug Abuse lists medical uses for...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani