Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfano wa Form ya Ubunge na wapi pakutia tick ya unae mchagua.

The post Mfano wa Form ya Ubunge na wapi pakutia tick ya unae mchagua. appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Binti wa Michuzi Ajitoa Kimasomaso; Achukua Form ya Ubunge wa Viti Maalum

 
 Zahara Michuzi alipowasili katika ofisi za CCM mkoa wa Tabora ili kuchukua form ya kugombea viti maalum kwa vijana.
Zahara Michuzi ni binti wa Issa Michuzi blogger na mpiga picha hodari wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anamalizia muda wake sasa.
Binti wa Michuzi mara baada ya kuhitimu elimu yake ya shahada yake ya uchumi UDOM ameona ni vyema akawatumikua wananchi wa nyumbani kwake mkoani Tabora kwa kutangaza nia ya kugombea ubunge wa viti maalum kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA

wema sepetu bongoclan.co.tzAkiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.wema sepetu bongoclan.co.tz..

 

9 years ago

Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)

Underperforming civil servants told to tick


Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Underperforming civil servants told to tick
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Union Presidential candidate, Dr John Magufuli, has warned that he would not entertain the tendency of transferring underperforming civil servants to new working stations. “Any official or public servant that we prove has ...

 

9 years ago

GPL

SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?

MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...

 

11 years ago

TheCitizen

A couple of snags have to be sorted out for Ethiopia’s renaissance dam to tick

Ethiopia is currently building its so called “The Renaissance Dam” on the Blue Nile near the Sudanese frontiers, which is deemed to be one of the most gigantic dams in the world. It’s cost is billed to exceed $4.78 million, and to generate 6000MW hydroelectric power.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Sampamba Music Ft Jay Mike — Tick Tock

Niwasanii toka Mkoani Iringa Tanzania wanaitwa Sampamba Music wapo chini ya Studio inayojulikana kwa jina la Sampamba Music wametoa wimbo mpya unaitwa “Tick Tock” wamemshirikisha msanii toka Marekani anayejulikana kwa jina la Jay mike Wimbo umefanyika katika studio za Sampamba Music zilizopo Tanzania[Iringa] na Studio za Allusion Muzik zilizopo Marekani. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! […]

 

10 years ago

GPL

MTANGAZA NIA UBUNGE LUDEWA AANGUKIA PUA NAFASI YA NEC, AAPA KUTOKUGOMBEA UBUNGE

  Mkuu  wa wilaya ya  Ludewa Antonia Choya akimkabidhi Mbunge wa Ludewa  Deo Filikunjombe (kushoto)  hati ya  shukrani ya kushiriki mbio  za Mwenge.…

 

9 years ago

Vijimambo

UPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE

Kwa taarifa za mwanzo zunasena kuwa mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini na m/kiti BAVICHA Taifa, ndugu Patrobas Katambi inasemekana ametekwa muda mfupi uliopita na watu wasiojulikana na kunyang'anywa fomu zake za ubunge.
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.

Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi

Chanzo:...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Hatuna kiongozi wa mfano’

Profesa Humphrey Moshi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), amesema hivi sasa hakuna kiongozi anayefaa kutazamwa kama wa mfano hapa nchini kutokana na kushindwa kutekeleza mambo wanayoyasema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani