Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Hatuna kiongozi wa mfano’

Profesa Humphrey Moshi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), amesema hivi sasa hakuna kiongozi anayefaa kutazamwa kama wa mfano hapa nchini kutokana na kushindwa kutekeleza mambo wanayoyasema.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hatuna bajeti inayotekelezeka

Bajeti ni nyenzo muhimu ya sera ya Serikali yeyote. Bajeti ni kioo cha mapato na matumizi kinachoonesha maeneo ambayo Serikali inayapa kipaumbele.

 

11 years ago

GPL

MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI‏

Tukiacha mbali picha ambayo mara nyingi au kwa miaka mingi imekuwa ikijengwa  vichwani mwa wengi wanapoona na kudhani kwamba fulani ni kiongozi bora [pengine kwa muonekano tu], au kwa sababu anashuka kutoka kwenye gari kwa mbwembwe, tabasamu baada ya kufunguliwa mlango na mkanda na kisha kupokelewa briefcase yake, yapo mambo kadhaa ambayo yanamfanya mtu awe kiongozi bora na sio bora kiongozi. Na kadri siku zinavyokwenda,...

 

11 years ago

Michuzi

MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI

Tukiacha mbali picha ambayo mara nyingi au kwa miaka mingi imekuwa ikijengwa  vichwani mwa wengi wanapoona na kudhani kwamba fulani ni kiongozi bora [pengine kwa muonekano tu], au kwa sababu anashuka kutoka kwenye gari kwa mbwembwe, tabasamu baada ya kufunguliwa mlango na mkanda na kisha kupokelewa briefcase yake, yapo mambo kadhaa ambayo yanamfanya mtu awe kiongozi bora na sio bora kiongozi. Na kadri siku zinavyokwenda, taswira ya kiongozi kwa muonekano tu inazidi kupotea....

 

9 years ago

Habarileo

Yanga: Hatuna hofu na Azam

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wamesema hawawahofii wapinzani wao wakubwa Azam FC kwenye Kombe la Mapinduzi isipokuwa huwaheshimu.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Hatuna raslimali za kudhibiti Ebola

Mkuu wa UN anayesimamia kitengo cha kukabiliana na Ebola magharibi mwa Afrika amesema hakuna raslimali za kuuthibiti ugonjwa huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sikinde: Hatuna mpango wa kwenda mahakamani

UONGOZI wa Bendi ya Mlimani Park ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’, umesema hauna mpango wa kwenda mahakamani kumshitaki wakala aliyewachukua baadhi ya wanamuziki wao na kwenda kufanya nao ziara nchini Ujerumani...

 

10 years ago

BBCSwahili

UK:Hatuna haja kuandaa dimba la 2018

Shirikisho la soka nchini Uingereza FA limesema kuwa halina haja ya kuandaa kombe la dunia la mwaka 2018 ama lile la mwaka 2022 nchini Qatar

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenyatta:'Ni aibu lakini hatuna budi'

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekiri ni jambo la aibu kuwa serikali imelazimika kutoa chakula cha msaada kwa maelfu wanaokumwba na njaa nchini humo

 

11 years ago

Tanzania Daima

TEC: Hatuna upande Katiba mpya

RAIS wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, amesema kuwa kanisa halina msimamo wa pamoja katika suala la muundo wa Serikali ya Muungano unaopendekezwa kwenye Katiba mpya. Badala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani