Mfanya biashara Arusha adaiwa kumuua rafiki yake
MFANYABIASHARA maarufu wa madini ya tanzanite jijini Arusha, Felix Mmasi (41) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha akituhumiwa kumpiga risasi kwa kutumia silaha aina ya bastola mtu anayedaiwa kuwa ni rafiki yake na kumsababishia umauti.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Polisi adaiwa kumuua rafiki yake kwa kipigo
Askari wa kikosi cha Mbwa na Farasi wilayani Nyamagana mkoani Mwanza, anadaiwa kumuua rafiki yake akiwa amemfunga pingu miguuni baada ya kumtuhumu kumuibia kadi za benki na pochi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5iLqqYx8ZQqZslXyQ34vPBpWEv53mWe2hjTAW-BcO53GbPIg0aB8smu38D8DbZQn803SU0eC-Zp77Ws8lhcmT2/mke.jpg?width=650)
MKE ADAIWA KUMUUA MUMEWE!
Na Mwandishi Wetu
SHETANI anazidi kuuatamia ulimwengu! Mama mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Farida mkazi wa Mburahati jijini Dar, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudaiwa kumuua mumewe aliyetajwa kwa jina la Amosi Joseph kwa kumpiga kwa kukombe kichwani, Ijumaa linaidondosha kama ilivyo. Akisimulia mbele ya gazeti hili mkasa mzima, mtoa habari hii aliyetajwa kuwa dada wa marehemu anayejulikana kwa jina la Khadija,...
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mwinjilisti adaiwa kumuua mkewe
Mwinjilisti wa Kanisa la Anglikana Kijiji cha Gama, wilayani Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, anadaiwa kumuua mkewe kwa wivu wa mapenzi, kwa kumpiga na panga kichwani kisha kumfukia chini ya magogo aliyoandaa kwenye tanuri la mkaa porini.
11 years ago
Habarileo04 Jul
Mke adaiwa kuhusika kumuua mumewe
MKAZI wa kijiji cha Vikonge wilayani Mpanda, Kitola Jeremia (45) ameuawa kwa kupasuliwa tumbo lake kwa kisu na utumbo wake wote kutolewa nje na watu wawili wanaodaiwa kukodishwa.
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Baba adaiwa kumuua mtoto kwa kipigo
Mtoto mwenye umri wa miaka sita ameuawa kikatili, baada ya kudaiwa kupigwa na baba yake kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IGfeaQzOI3k/UyctQNp1CrI/AAAAAAAFUNw/W203hI1QEMU/s72-c/unnamed+(75).jpg)
Baba adaiwa kumuua mwanaye wa miaka 8 mkoani Njombe
![](http://2.bp.blogspot.com/-IGfeaQzOI3k/UyctQNp1CrI/AAAAAAAFUNw/W203hI1QEMU/s1600/unnamed+(75).jpg)
Njombe SACP Fulgence Ngonyani Na Edwin Moshi, Njombe Jeshi la polisi mkoani Njombe linamshikilia Bw. Yusufu Sadick Mkalile (33) kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kumzaaa mwenyewe kwa kumziba pua na mdomo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa waandishi wa habari na Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe SACP Fulgence Ngonyani imesema kuwa mtuhumiwa alitenda mauaji hayo Machi 16 mwaka huu majira ya saa 03:20 asubuhi, ambapo alimziba pua na mdomo mwanaye huyo aitwaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0TmnEv36DIkJa51seaOd*5TxVGHfyfcHf37cvJvXq686YFkh-CF9pTP6T2kxfIBUGeGLJU7xdJRVxoRrS9Pofdczz/mzee.jpg)
MZEE WA UPAKO ASAKWA, ADAIWA KUTISHA KUMUUA MUUMINI WA GWAJIMA
Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah LILE sakata la Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Ubungo – Kibangu, Dar, Lusekelo Anthon ‘Mzee wa Upako’ kufyatua risasi mtaani limechukua sura mpya baada ya kijana aliyejitambulisha kwa jina la Robert Lugala, mkazi wa Kibangu kuibuka na kudai alitishiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na mchungaji huyo. Kijana anayejitambulisha kwa jina la Robert Lugala,...
5 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA ZANZIBAR APOKEA VIFAA MBALI MBALI VYA AFYA KUTOKA KWA MFANYA BIASHARA SAID NASSIR NASOR (BOPER)
Na Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar Wizara ya Afya Zanzibar imepokea msaada wa vifaa mbali mbali vya afya kutoka kwa Mdau wa Maendeleo Said Nassir Nassor Bopar kwa ajili ya kupambana na kujikinga na maambukizi ya Corona. Akipokea msaada huo Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed huko katika Wizara ya Afya Mnazi mmoja amesema vifaa hivyo vitasaidia kutoa huduma mbali mbali za matibabu pamoja na kupambana na ugonjwa wa corona nchini. Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na vitanda 36, mashuka,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania