Mfuko wa uwekezaji wa pamoja wazinduliwa nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-CrlHHEydl3E/VZO994wAoOI/AAAAAAAC8B0/m2g3zCgEjzQ/s72-c/picture%2B1.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Core Securities Limited, Bw. George Fumbuka akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa Umande Unit Trust (UTT), mfuko wa uwekezaji wa pamoja utakaowawezesha wakezaji wengi kukusanya mitaji yao kwa pamoja ili kupata mtaji mkubwa zaidi. Ameambatana na Meneja uendeshaji wa kampuni hiyo Bw. Jonathan Swalala (Kulia) na Meneja Mahusiano ya Wawekezaji, Bi. Sandra Felician (kushoto). UUT ni mfuko wa pili wa pamoja kusajiliwa nchini, kufuatia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XEws80DpoGU/VCVpK_xbqII/AAAAAAAGl-k/FAloZruka6k/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Mfuko wa CCM Mshikamano VICOBA wazinduliwa mjini Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-XEws80DpoGU/VCVpK_xbqII/AAAAAAAGl-k/FAloZruka6k/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8gFUcKxArs/VCVpKutw0RI/AAAAAAAGl-g/tyzTqB0AAxs/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Faida, changamoto za Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji
UWEKEZAJI ni dhana pana ambayo kila mtu anaweza kuitazama kulingana na shughuli anazozifanya. Mfano mzuri ni mzazi anapompeleka mtoto shule ni uwekezaji kwenye sekta ya elimu. Ili uwekezaji uweze kufanyika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII AANIKA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KWA KAYA MASIKINI ZILIZOFIKIWA NA MFUKO HUO NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Ladislaus Mwamanga amesema kuwa programu ya TASAF imetekelezwa katika awamu tatu na imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali katika ngazi ya jamii kwa lengo la kupunguza umasikini kwa msingi wa kutoa huduma za jamii katika sekta zote.
Utekelezaji huo umekuwa ukizingatia mahitaji halisi au kero za wananchi wenyewe kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Serikali na kwamba awamu ya kwanza ya TASAF...
10 years ago
VijimamboWizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dT3A-flI_OY/VhkWv7FSZII/AAAAAAAAa7I/YEAdQmbi3mo/s72-c/JK_Speech2.jpg)
JK AUMWAGIA SIFA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KWA UWEKEZAJI BORA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dT3A-flI_OY/VhkWv7FSZII/AAAAAAAAa7I/YEAdQmbi3mo/s640/JK_Speech2.jpg)
RAIS Jakaya Kikwete, akitoa hotuba kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi la kitegauchumi PPF Plaza eneo la Vigaeni, mjini Mtwara, Oktoba 10, 2015. Jengo hilo la ghorofa mali ya PPF litagharimu shilingi Bilioni 9.5 ujenzi wake utakapokamilika mwishoni mwa mwaka huu. NA K-VIS MEDIA, MTWARA RAIS Jakaya Kikwete ameumwagia sifa kemkem Mfuko wa Pensehni wa PPF, kwa uwekezaji bora, wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jingo la ghrorofatano la kitegauchumi la PPF Plaza mjini Mtwara Oktoba...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PewL9P9I7Xo/Vf6jNhKOE9I/AAAAAAABgyI/hMCLv7YWSbU/s72-c/IMG-20150918-WA0028.jpg)
UTT AMIS YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA-MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PewL9P9I7Xo/Vf6jNhKOE9I/AAAAAAABgyI/hMCLv7YWSbU/s640/IMG-20150918-WA0028.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y43a2jGZN_Q/Vf6jPdDuhwI/AAAAAAABgyQ/LIcNhd4bIuQ/s640/IMG-20150918-WA0030.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OmMW2LX_ffU/Vf6jPzsviRI/AAAAAAABgyU/6ngmQIhb2Jk/s640/IMG-20150918-WA0034.jpg)
9 years ago
StarTV18 Sep
Norway na Tanzania wajadili uwekezaji wa pamoja kukuza uchumi
Katika hali ya kuhakikisha uchumi wa nchi unakuwa Serikali za Norway na Tanzania zimekutana kujadili fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya gesi na mafuta ili kuwezesha nchi hizo kujiimarisha kiuchumi pamoja na kuimarisha uhusiano miongoni mwa mataifa hayo.
Ujumbe kutoka Norway ukiongozwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Monica Maeland umesema uhusiano uliopo baina ya nchi hizo mbili ni njia pekee ya kufungua mtandao mpana wa biashara katika kujiimarisha kiuchumi.
Katika mkutano...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uta6qQr4MK0/VEyt5DGvkyI/AAAAAAABLrg/Qb_mu2Cp6wc/s72-c/IMG-20141025-WA0001.jpg)
UTT YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WAKAZI WA MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uta6qQr4MK0/VEyt5DGvkyI/AAAAAAABLrg/Qb_mu2Cp6wc/s1600/IMG-20141025-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xubLu3E8OAM/VEyt8wwOerI/AAAAAAABLrs/_vAkJ0X3z-c/s1600/IMG-20141025-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oPjTFq8am_A/VEyt835OzbI/AAAAAAABLrw/WSmYh7OM99k/s1600/IMG-20141025-WA0003-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_xFZAwsgd68/VEyuoys3hDI/AAAAAAABLsA/e2zlvSE7R48/s1600/IMG-20141025-WA0006-1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qNZXU3Z6ocs/VJLI1QOI3qI/AAAAAAABPug/mpBc5FSTRDM/s72-c/IMG-20141217-WA0007.jpg)
UTT-AMIS YATOA ELIMU YA MIFUKO YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA MADAKTARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qNZXU3Z6ocs/VJLI1QOI3qI/AAAAAAABPug/mpBc5FSTRDM/s1600/IMG-20141217-WA0007.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-36X9F7MzQQo/VJLI2jrV6WI/AAAAAAABPuo/ZpHJtuSm_Zo/s1600/IMG-20141217-WA0008.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI