MFUMO DUME NA MAWAZO MGANDO: KIKWAZO USHIRIKI WA MWANAMKE KATIKA UONGOZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Uvinza FM Radio, Nuru Kalufya akisimamia usajili wa washiriki wa mafunzo ya Maadili, Jinsia na Kuandika Habari za Migogoro yaliyoanza katika kijiji cha Uvinza, wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma tarehe 24 Septemba hadi 01 Oktoba 2014.
Mshauri na Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi. Rose Haji Mwalimu akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Uvinza FM Radio Bi. Nuru Kalufya wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Maadili, Jinsia na Kuandika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Wajumbe Bunge Maalumu la Katiba na mawazo mgando
NI ukweli usiopingika kuwa Bunge Maalumu la Katiba limetawaliwa na wajumbe walio wengi mamluki, ambao wamevaa makoti ya CCM. Hakika sina shaka mamluki hao wamekuwa wakisimamia misimamo ya chama chao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gijckUCkeZE/U_8EJYgAHhI/AAAAAAAGKMw/AdNDJ35v-MA/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Viongozi wa vyama vya Siasa wakutana kujadili ushiriki wa makundi maalum katika uongozi
![](http://2.bp.blogspot.com/-gijckUCkeZE/U_8EJYgAHhI/AAAAAAAGKMw/AdNDJ35v-MA/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s72-c/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
SHERIA ZA UCHAGUZI ZINAZOJIKITA KWENYE MRENGO WA JINSI YA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI,WENYE AZMA YA UPATIKANAJI WA HAKI ZA WANAWAKE.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Djne6x46ODY/Xu8jB7KTDJI/AAAAAAALuzA/alONzZnzPOkZrjfL3IqvZvmQvI0d92moACLcBGAsYHQ/s200/National_Electoral_Commission_%2528Tanzania%2529_Logo.png)
Mtandao wa wanawake,Katiba,Uongozi na Uchaguzi,kwa udhamini wa mfuko wa wanawake Tanzania(WFT)hivi karibuni uliendesha mada ya uchambuzi wa sheria tano za uchaguzi zilizojikita kwenye wa mrengo wa jinsi ya ushiriki wa wanawake katika uongozi unaolenga kwenye azma ya upatikanaji wa haki za wanawake na ujenzi wa nguvu za pamoja katika kuendeleza utetezi wa ukombozi wa kimapinduzi
Mkutano huo ulifanyika kwa njia ya mtandao wa zoom ulioendeshwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D-ZkN27MQFoG-MfL*q9ZnMtT2vnSMn*9myDvqEMGun2Sr4XJQkye6B2PL8U*IZ4SBOVcAzx9jiEsgponZGaIPDB/unhappymarriage.jpg?width=650)
MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1lf0qyoD2flMkf7SkdW0wfr09SEfgMWPN5ay45T0dTBm7FWCA5B2su375oFh70x4FOI2NSDpnw-Mt-lVGeikcGJ3/unhappyparents.jpg?width=650)
MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME?
10 years ago
Vijimambo11 Aug
MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME?
![](http://api.ning.com/files/U9cJ436L1lelkpgVfht*dJekLrWiMcZemu4UNNn0D9SOQ*OxJ55vnXJyUn4faokywkxDFP76LLUIw2-bLO2ZsWvAqj3JJH8w/violenceresized.jpg?width=650)
NIJumanne tena, wapenzi wasomaji wangu tunakutana tena katika safu hii ya mapenzi na maisha. Ni safu inayokusudia kutoa elimu kwa wanandoa, wapenzi, wachumba na wengine wanaotarajia kuingia katika meli hiyo ya maisha ya mapenzi.
Mada ya leo inaweza kuwa ngumu kidogo kutokana na ukweli kwamba, inazungumzia misimamo ya taasisi za kutetea haki mbalimbali kujenga hoja ya kuwaambia wanaume wasiwe na mfumo dume.Lakini pia, mada hii itachota baadhi ya vipengele kutoka kwenye vitabu vya dini ili...
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Mfumo dume wadhihirika bungeni Kenya
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Mfumo dume bado unatawala wanawake
MFUMO dume ulioota mizizi katika jamii kwa kisingizio cha mila, desturi na dini unachangia kwa kiasi kikubwa katika unyanyasaji wa mtoto wa kike na mwanamke nchini. Tangu enzi za mababu,...
11 years ago
Habarileo17 May
Mfumo dume bado waathiri familia nyingi
FAMILIA nyingi bado zipo katika tabaka la mfumo dume, ambao unachangia kwa asilimia kubwa kuendelea kuwepo kwa idadi ya watoto wa mitaani na waishio katika mazingira hatarishi.