Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro Mererani waibuka upya

MGOGORO wa kugombea mipaka kati ya kampuni ya wawekezaji ya TanzaniteOne/STAMICO na wachimbaji w

Paul Sarwatt

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mgogoro mpya wamiliki mabasi, madereva waibuka

mabasiNa Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MGOGORO mpya umeibuka kati ya wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani baada ya wamiliki kutishia kuwafukuza kazi madereva wao walioshiriki mgomo.
Hatua hiyo imekuja baada ya baadhi ya madereva walioshiriki katika mgomo huo wa siku mbili kufukuzwa kazi na baadhi ya wamiliki wa mabasi hayo.
Kutokana na hatua hiyo, Mhasibu Mkuu wa Umoja wa Madereva Tanzania (UWAMATA) Issa Regan, aliwataka matajiri waliowafukuza madereva wao kuwarudisha kazini mara...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana aunguruma Mererani

unnamed

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mererani wilaya ya Simanjiro ambao wengi ni wachimbajI wa wadogo wadogo wa madini kwenye mkutano wake mjini Mererani wilaya ya Simanjiro Manyara.

unnamed (1)

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mererani ambao aliwaambia vyama vya Upinzania ni sawa na Jogoo kwani hata awike vipi hawezi fungua mlango na kwa sababu vyama hivyo havipo kwa ajili ya maendeleo ya wananchi basi vinelekea kufa kwani havina sera mpya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana kuhutubia Mererani kesho

unnamed

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Orkesumet ambapo aliwambia ahadi za Rais zitatekelezwa kama zilivyoahidiwa kwa wananchi wa Simanjiro.Katibu Mkuu pia alisisitiza wananchi kutochagua viongozi wa vijiji wa hovyo ambao mwisho wa siku huuza ardhi yao na kusababisha migogoro.

unnamed (1)

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Orkesumet ambapo pia alitoa salaam za pole kwa niaba ya chama cha Mainduzi kwa Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Singida Ndugu...

 

9 years ago

StarTV

Migodi 12 yasimamisha uchimbaji Mererani

Jumuiya ya Wachimbaji wadogo katika Migodi ya Mererani eneo maarufu kwa uchimbaji wa Madini ya Tanzanite imesimamisha shughuli za uchimbaji kutokana na migogoro kati yao na Mwekezaji wa kampuni ya Tanzanite One ambaye ni mwekezaji mkubwa zaidi kwenye eneo hilo.

Matukio ya mwingiliano wa ndani ya migodi maarufu kama “MTOBOZANO” katika eneo la Mererani yamekuwa yakiibua mivutano na athari za aina mbalimbali kwa wachimbaji wa pande zote.

Wachimbaji hao wamelalamikia kampuni ya Tanzanite One...

 

11 years ago

TheCitizen

Two die in yet another Mererani mine blast

Two small scale miners at the Mererani gemstone mines in Simanjiro District, Manyara Region have perished in yet another dynamite blast.

 

11 years ago

GPL

KINANA AKUTANA NA WACHIMBAJI WADOGOWADOGO WA MADINI, MERERANI

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akioneshwa vipande vya madini aina ya Tanzanite, katika mgodi wa mchimbaji mzawa wa madini ya Tanzanite Bi.Suzie Didas Kennedy. Katibu Mkuu wa CCM alitembelea migodi ya wachimbaji wadogo wa Mererani na kuzungumza nao juu ya changamoto zinazowakabili na namna ya kuzitatua. Pichani kati anayeshuhudia ni Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, Mh. Christopher Ole Sendeka.… ...

 

11 years ago

Michuzi

maadhimisho ya Karume day yafana mjini Mererani

Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Manyara, Christopher Ole Sendeka, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, akishikilia bendera ya Taifa, wakati akipokea mbio za pikipiki kwenye maadhimisho ya Karume Day yaliyofanyika jana Mji mdogo wa Mirerani. Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Manyara, Christopher Ole Sendeka, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, akivishwa skafu kwenye maadhimisho ya Karume Day yaliyofanyika juzi Mji mdogo wa Mirerani. Kamanda wa Umoja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani