Mgonjwa wa MERS alazwa Slovakia
Mwanamme raia wa Korea Kusini ambaye anakisiwa kuambukizwa homa hatari ya MERS amelazwa hospitalini nchini Slovakia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Poland na Slovakia zakataa kupokea wakimbizi
Poland na Slovakia zimesema kuwa hazitawapokea wakimbizi kama ilivyotakiwa na Umoja wa Ulaya
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Waliokufa kutokana na MERS sasa ni 18
Watu waliokufa kutokana na ugonjwa wa MERS nchini Korea Kusini sasa wafikia 18
10 years ago
BBCSwahili13 Jun
Homa ya MERS yasambaa Korea Kusini
Shirika la afya duniani linasema kuwa mlipuko wa homa ya Middle East Respiratory Syndrome au MERS nchini Korea Kusini ni mkubwa
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Visa 3 vya MERS vyaripotiwa K Kusini
Maafisa wa afya nchini Korea kusini wamethibitisha visa vingine vitatu vya ugonjwa wa matatizo ya kupumua au MERS.
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Visa vya MERS vyaongezeka Korea Kusini
Maafisa wa afya nchini Korea Kusini wamegundua visa vingine 23 vya ugonjwa uitwao Middle East Respiratory Syndrome au MERS.
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Hong Hong yatoa tahadhari ya MERS
Serikali ya Hong Kong imetoa tahadhari dhidi ya kusafiri kwenda nchini Korea Kusini kufuatia kuwepo mlipuko wa homa ya MERS
11 years ago
GPLJACOB ZUMA ALAZWA
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma. Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amelazwa hospitalini kwa uchunguzi wa afya atapumzika kwa muda ingawa ataendelea na majukumu akiwa nyumbani Taarifa hii ni kwa mujibu wa maafisa kutoka kwa ofisi yake. Taarifa hiyo ilisema kuwa Zuma atalazimika kumpumzika kwa muda ingawa ataendelea na majukumu yake ya kitaifa akiwa nyumbani.
 “Hapo jana Ijumaa Rais Zuma alishauriwa kupumzika hasa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jw6EK2azU*Pe76QjZwXMwV9P7lVg74MS*jfBTPZNuyDjZH8sfc8nyRINg55*0LJOTnTitbdNiH*ZDUE2wW3L9Pb/SHIJA.jpg?width=650)
SHIJA AUGUA ALAZWA SAUZI
Stori: Joseph Shaluwa STAA wa filamu za Kibongo, Deogratius Shija ameugua ghafla na kulazwa katika hospitali moja jijini Johannesburg, Afrika Kusini alipokwenda kwa mapumziko mafupi. Staa wa filamu za Kibongo, Deogratius Shija akiwa Hospitalini jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Akiwasiliana na mwandishi wetu kupitia mtandao mmoja wa kijamii, rafiki wa karibu wa Shija aliyeomba hifadhi ya jina lake alithibitisha kuhusu kuugua...
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Mohammed Ali alazwa hospitalini
Aliyekuwa bingwa wa ndondi ulimwenguni Mohammed Ali amelazwa hospitalini baada ya kuugua maambukizi ya mapafu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania