Waliokufa kutokana na MERS sasa ni 18
Watu waliokufa kutokana na ugonjwa wa MERS nchini Korea Kusini sasa wafikia 18
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliokufa sasa wafikia tisa
Majeruhi wa moto uliotokana na mlipuko wa lori la mafuta eneo la Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam wameendelea kupoteza maisha baada ya wawili zaidi kufariki dunia na kufanya idadi yao kufikia tisa.
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Waliokufa na Ebola watimia 7,000 sasa
WHO yasema idadi ya watu waliokufa kwa sababu ya Ebola imeongezeka na kufikia elfu saba
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Waliokufa ajali ya basi Mafinga sasa wafikia 50
Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya Basi la Majinjah imeongezeka na kufikia 50. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alisema maiti zilizotambuliwa na zile zilizobakia, walipohesabu waligundua idadi yao kufikia 50.
10 years ago
Michuzi.jpg)
Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom
Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Huduma hii mpya ambayo imebuniwa na makampuni haya yanayoongoza kutoka huduma za mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki itawawezesha wateja wake kutuma pesa kwa kutozwa viwango sawa na vinavyotumika...
5 years ago
CCM Blog
WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI

ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Corona katika kipindi cha saa 24.
Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.
Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Mgonjwa wa MERS alazwa Slovakia
Mwanamme raia wa Korea Kusini ambaye anakisiwa kuambukizwa homa hatari ya MERS amelazwa hospitalini nchini Slovakia.
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Visa 3 vya MERS vyaripotiwa K Kusini
Maafisa wa afya nchini Korea kusini wamethibitisha visa vingine vitatu vya ugonjwa wa matatizo ya kupumua au MERS.
10 years ago
BBCSwahili13 Jun
Homa ya MERS yasambaa Korea Kusini
Shirika la afya duniani linasema kuwa mlipuko wa homa ya Middle East Respiratory Syndrome au MERS nchini Korea Kusini ni mkubwa
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Visa vya MERS vyaongezeka Korea Kusini
Maafisa wa afya nchini Korea Kusini wamegundua visa vingine 23 vya ugonjwa uitwao Middle East Respiratory Syndrome au MERS.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania