Mh. Lowassa akutana na uongozi wa bodaboda mkoa wa Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-7TEObRNoC-0/Utah_3NBVyI/AAAAAAAFHDk/lVLefJoSQGs/s640/unnamed.jpg)
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (katikati) akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa viongozi wa shirikisho la waendesha bodaboda jijini Dar es Salaam,waliomtembelea ofisini kwake leo.Mh. Lowassa alikutana na viongozi hao kupanga utaratibu wa kufanya harambee ya kuchangia saccos ya shirikisho hilo.Mwezi Disemba mwaka jana,Mh Lowassa alikuwa mgeni rasmi katika tamasha la bodaboda kwenye...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Bodaboda wamwangukia Mkuu wa Mkoa wa Dar
Baadhi ya viongozi na wanachama wa bodaboda wakiwa katika mazungumzo na wanahabari (hawapo pichani).
Na Mwandishi wetu.
Kamati maalum ya madereva Bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam, wamemtaka mkuu wa mkoa Saidi Meck Sadiki kusitisha agizo la vyombo hivyo kutoingia katikati ya jiji (Central Business District CBD).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, katibu wa kamati hiyo Daudi Laurian, alisema kuwa mkuu wa mkoa alitoa agizo hilo bila kuwashirikisha kwa kuwapa taarifa ...
5 years ago
MichuziMKUTANO KATI YA MKUU WA MKOA DAR, WAENDESHA BODABODA 'WAYEYUKA KIANA'
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Makamu wa Rais akutana na uongozi wa NEC-Japan Ikulu Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Rais wa Shirika la NEC Corporation la Japan, Dkt. Nobuhiro Endo, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Septemba 12, 2014 akiwa ameongozana na ujumbe wake kwa ajili ya mazungumzo. (Picha na OMR).
Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal leo amekutana na Uongozi wa Kampuni ya NEC yenye makao yake makuu jijini Tokyo nchini Japan....
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Rw5ComqIH4g/VJVJaFZDh3I/AAAAAAACUlY/ShYVw1z-cwk/s72-c/731.jpg)
BALOZI IDDI AKUTANA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA MITATANDAO YA VIETNAM TAWI LA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-Rw5ComqIH4g/VJVJaFZDh3I/AAAAAAACUlY/ShYVw1z-cwk/s640/731.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S3WrsbxSq7E/VJVJaK9zZQI/AAAAAAACUlI/TDjRmsApqzs/s640/749.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i4eY8dHHhas/VBLdEpNqITI/AAAAAAAGjNw/bIyi5637DRM/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA UONGOZI WA NEC-JAPAN IKULU JIJINI DAR LEO
Ujio wa Kampuni hii nchini Tanzania unatokana na mwaliko wa Tanzania kwa makampuni ya Japan kufuatia ziara ya kikazi aliyoifanya Mheshimiwa Makamu wa Rais nchini Japan, mwezi wa...
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
Rais akutana na uongozi wa Chama cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na viongozi wa Chama Cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar es salaam jana. Walioketi kushoto ni Waziri wa Sheria na Katiba Dkt Asha Rose Migiro, Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe George Mcheche Masaju Kamishna wa Ustawi wa Jamii Bw. Rabirika Mushi na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw. Emmanuel Achayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-s2tOLC1_jU0/VPieM-t8vlI/AAAAAAAHH6M/tQ6A2Oa6tEA/s1600/a2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifafanua jambo wakati akiongea na viongozi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UEkwUCV3D10/Vbjg2UETaLI/AAAAAAAABLM/jMU7BilsIuE/s72-c/tume3.jpeg)
NEC YAKUTANA NA UONGOZI WA MKOA WA DAR ES SALAAM KUTATHIMINI ZOEZI ZIMA LA UANDIKISHWAJI BVR
![](http://4.bp.blogspot.com/-UEkwUCV3D10/Vbjg2UETaLI/AAAAAAAABLM/jMU7BilsIuE/s640/tume3.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_hJliOxE69Y/Vbjg2tttTqI/AAAAAAAABLU/yzkxay8yh24/s640/tume4.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HVQlvuyRVKs/VBGD9UdaHMI/AAAAAAAGi48/olyt84FOuJ0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA BARAZA LA HABARO TANZANIA (MCT), IKULU DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-HVQlvuyRVKs/VBGD9UdaHMI/AAAAAAAGi48/olyt84FOuJ0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T_dXjzxthds/VBGD9wYKZMI/AAAAAAAGi5A/xdxAbYJXK48/s1600/4.jpg)