MH. PINDI CHANA ATEMBELEA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI ARNAUTOGLU, DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZNeozrYMldg/VFCv3CZKKGI/AAAAAAAGuA0/Aou03-5AWSw/s72-c/Untitledn1.png)
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dkt. Pindi Chana (Mb.), leo tarehe 28 Oktoba, 2014 amefanya ziara katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Arnautoglu – Ilala, Dar es salaam, kwa lengo la kukagua maendeleo ya utoaji wa mafunzo kwa wananchi. Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Arnautoglu hutoa mafunzo ya muda mrefu, muda mfupi na mafunzo nje ya chuo, ambayo yote yamelenga katika kutoa stadi na maarifa mbalimbali yanayowawezesha washiriki kupata ujuzi ili waweze kujiajiri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBENKI YA DCB YAKABIDHI MSAADA WA KOMPYUTA KWA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI ARNAUTOGLU
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s72-c/P1.png)
Dkt. Pindi Chana mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s640/P1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ajFaiMIeGWM/Vdc6VMkgbNI/AAAAAAAHy6o/J0pifgF4Skc/s640/P2.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KDnL0S7_f9I/VUADwHsHhEI/AAAAAAAHT7w/1iAVy8xaIrA/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Mhe Pindi Chana atembelea kituo cha kulelea Watoto
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pREo7TtBTpQ/VVbhAFDplCI/AAAAAAAHXg8/n1wdajA3j8I/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana afungua kikao cha baraza la watoto dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-pREo7TtBTpQ/VVbhAFDplCI/AAAAAAAHXg8/n1wdajA3j8I/s640/unnamed%2B(29).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cDxvCexYvLU/VVbhARd65HI/AAAAAAAHXhA/qKOK5L8OPL8/s640/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LrS4XjW6TLA/VVbhARfpdVI/AAAAAAAHXhI/UXEUZWO6CiE/s640/unnamed%2B(31).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--acKubdtUbo/UwZh6bt0ekI/AAAAAAAFOcI/2mh2QcjBZUM/s72-c/unnamed+(67).jpg)
NAIBU WAZIRI, DKT. PINDI CHANA ATEMBELEA DAWATI LA JINSIA LA POLISI LA WILAYA DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/--acKubdtUbo/UwZh6bt0ekI/AAAAAAAFOcI/2mh2QcjBZUM/s1600/unnamed+(67).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b7C-A6W7gvc/UwmwgwdZJtI/AAAAAAAFO0o/0oOZ4S1NkYU/s72-c/unnamed+(8).jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MUNGURI, KONDOA- DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-b7C-A6W7gvc/UwmwgwdZJtI/AAAAAAAFO0o/0oOZ4S1NkYU/s1600/unnamed+(8).jpg)
Mheshimiwa Dkt. Pindi Chana akiwa katika ziara hii ya Kikazi alipata fursa ya kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Munguri, kondoa ambacho ni miongoni mwa vyuo 55 vinavyotoa mafunzo ya elimu ya...
10 years ago
MichuziMHE. Dkt. PINDI CHANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA JINSIA NA MAENDELEO YA WANAWAKE WA NCHI ZA SADC, NCHINI HARARE, ZIMBABWE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WlUt5qgEefE/VFOlVf0WgtI/AAAAAAAGuZI/r-SIAZmG0AU/s72-c/New%2BPicture%2B(2).png)
MHE. PINDI CHANA AFUNGUA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA UMATI TAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-WlUt5qgEefE/VFOlVf0WgtI/AAAAAAAGuZI/r-SIAZmG0AU/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NuLXtH_Ya84/VFOlXWZo5vI/AAAAAAAGuZQ/FN6AEd8FsFo/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)