Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mhe. Amina Salum Ali amkaribisha Erastus J. O. Mwencha, Washington DC

Balozi wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali. akiwa na Bw. Erastus Mwencha, Naibu Katibu Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika pamoja na Shamis Alkhatry baada ya mapokezi kwa ziara yake maalum, siku ya Jumatano Feb 25, 2015 ndani ya  Washington Dulles International Airport.Balozi wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali, Balozi wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali. akuwa na Bw. Erastus Mwencha, pamoja na Cheif wa swahilivilla...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MHE. AMINA SALUM ALI AMKARIBISHA ERASTUS J.O. MWENCHA, WASHINGTON DC

Balozi wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali, akipata picha ya pamoja na Bw. Erastus Mwencha, Naibu Katibu Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, baada ya mapokezi kwa ziara yake maalum, siku ya Jumatano Feb 25, 2015 ndani ya  Washington Dulles International Airport.( Picha na swahilivilla.blogspot.com) . Balozi wa Umoja wa Afrika (AU) nchini… ...

 

9 years ago

Vijimambo

AFRICA UNION WAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI, WASHINGTON, DC

Blaozi wa Umoja wa Afrika Mhe. Amina Salum Ali akiwahutubia wafanyakazi na wageni waalikwa waliofika kwenye ghafla ya kuagwa kwake iliyofanyika siku ya Jumatatu, Aug 31, 2015 Washington, DC. Diaspora wakipata picha ya kumbukumbu na Balozi Amina Salum Ali. Mhe. Tete Antoni Balozi wa Umoja wa Afrika New York akitoa hotuba yake ya kumuaga Balozi Amina Salum Ali ambaye amemaliza muda wake kama Balozi wa Umoja wa Afrika Washington, DC.Picha ya pamoja
 Baadhi ya wafanyakazi wa Umoja wa Afrika...

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI AMINA SALUM ALI AANZA KUAGWA WASHINGTON, DC KWA SAFARI YA KURUDI NYUMBANI TANZANIA

Balozi Amina Salum Ali katika harakati za kurudi nyumbani ameanza kuonana na viongozi wa serikali ya marekani.hapa amefuatana na ofisi wa u balozi wa Afrika akiwa na Balozi Linda Greenfield Msaidizi wa seketari anayeshughulikia Afrika leo asubuhi ofisi ya mambo ya nje Washington dc

 

10 years ago

Michuzi

DK.SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA UMOJA WA AFRIKA NCHINI MAREKANI MHE AMINA SALUM ALI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Afrika Nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali  alipofika  Ikulu  Mjini Zanzibar  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza  na Balozi wa Umoja wa Afrika Nchini Marekani Mhe,Amina Salum Ali  alipofika  Ikulu  Mjini Zanzibar 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na      Balozi wa Umoja wa Afrika...

 

10 years ago

Mtanzania

Amina Salum Ali

Amina-Salum-AliNa Is-haka Omar, Zanzibar
BALOZI wa Umoja wa Afrika (AU) katika Umoja wa Mataifa (UN), Amina Salum Ali, amesema ana nia ya kuwania nafasi ya uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ingawa kwa sasa ni mapema kusema hivyo.
Balozi Amina ambaye amekuwa akitajwa kusaka kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, aliweka msimamo huo wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari katika mkutano ulioitishwa na Jumuiya ya Kuhamasisha Maendeleo ya Wanawake Zanzibar (COWPZ)...

 

10 years ago

Vijimambo

Highlighting: Ambassador Amina Salum Ali

Balozi Amina Salum Ali,Washington DC AU Permanent Ambassador To US-Amina Salum Ali
 Over the weekend I had a good discussion with a long time friend of mine, Michael, on a variety of issues. It was one of those discussions that make you think, learn and admire the vision of a good friend. It was a 360 degree conversation that took a "world tour" of ideas, theories, news and of course a bit of hearsay. This friend of mine knows how much I love highlighting my country of birth, Tanzania, its people, culture, traditions and...

 

10 years ago

Mwananchi

Amina Salum Ali ampigia chapuo Dk Shein

Balozi Amina Salum Ali amesema Rais wa Zanzibar anayemaliza muda wake, Dk Ali Mohamed Shein bado anastahili kupewa nafasi ya kuongoza Wazanzibari.

 

10 years ago

Mtanzania

Amina Salum Ali ajitosa urais CCM

Amina Salum AliNa Esther Mbussi, Dar es Salaam
MBIO za kuwani urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimeanza kushika kasi,baada ya mwanasiasa mkongwe Amina Salum Ali kutangaza rasmi kugombea urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba,mwaka huu.
Amina ambaye alikuwa Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU), nchini Marekani anakuwa mwana CCM na mwanamke wa kwanza kutangaza azma yake hadharani.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Amina alitoa vipaumbele vyake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Historia ya Balozi Amina Salum Ali wa CCM

Chama tawala nchini Tanzania CCM kimemteua bi Amina Salum Ali kuwa mgombea mwenza wa daktari John Pombe Magufuli

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani