Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MH.Mengi ajibu sababu za yeye kumuoa KYLINE


Dk. Reginald Mengi akiwa na Familia yakeDr. Reginald Mengi alipoulizwa kwanini umemuoa Jackline alijubu hivi: Nimemwoa Jackline kwasababu yuko tofauti na wanawake wengine ambao nimeshawahi kuwa nao. 1. Jackline ananipikia chakula kuanzia chai, lunch mpaka dinner.2. Jackline ananifulia nguo zangu kwa mikono yake sio mashine3.Jackline anajua nafasi ya mwanaume na nafasi ya mwanamke kwenye nyumba.4. Jackline ananipenda ndio mana ananifanyia vitu ambavyo wanaume wengi tunapenda kufanyiwa hasa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wema Atoa Sababu ya Yeye Kutaka Mtoto wa Kiume!

Kupitia ukurasa wake  mtandaoni  Wema Sepetu ambae hivi karibuni aliweka wazi tatizo lake la kutoweza kushika ujauzito, jana usiku ameibua tena hisia za mashabiki wake baada ya kuweka picha akiwa na mtoto wakike,Sasha aliedai kuwa huyo ndiye kipenzi chake cha maisha na kusisitiza  kuwa hiyo ndio sababu ya yeye  kutaka mtoto wakiume kwani tayari anaye mtoto  wa kike.

“Day well spent.... With the Love of my Life.... Reason y I want a baby boy.... Cause I already have my girl... Love her too...

 

10 years ago

Bongo5

Jason Derulo aweka wazi sababu za yeye na Jordin Sparks kuachana

Couple ya waimbaji Jason Derulo na Jordin Sparks ndio iliyoonekana kuwashtua zaidi wengi baada ya taarifa za kuachana kwao kusambaa, na hii inatokana na kuwa hapakuwahi kusikika hata taarifa za ugomvi baina yao. Lakini Derulo ameweka wazi baadhi ya sababu za ndani zilizopelekea ‘mv mapenzi ‘ ya wawili hao kushindwa kuhimili mawimbi ya bahari ya […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Mapokezi ya Wema Sepetu Dar, Asema Sababu ya Yeye Kutokata Tamaa

Hizi ni baadhi ya picha za mapokezi makubwa ya staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu siku ya jana alipokuwa akirudi kutoka Singinda ambako alikwenda kwaajili ya kinyang’anyiro cha kuwania ubunge wa viti maalumu kupitia cha cha mapinduzi (CCM).

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Wema aliweka picha hiyo hapo juu na kueleza kuwa mashabiki wake ndiyo siri ya yeye kuendelea mbele.

Kama umewahi kujiuliza: kwanini Wema Sepetu hakati tamaa? Kwanini hachoki pamoja na changamoto zote anazokumbana nazo?

Jibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tutafakari sababu za kuanzishwa makanisa mengi nchini

HIVI karibuni rafiki yangu Mwislamu, ambaye hakutaka jina lake litajwe hapa, lakini  kesho na keshokutwa nitalitaja, aliniuliza swali: “Una maoni gani juu ya makanisa haya yanayochipuka kila kukicha hapa nchini?”...

 

11 years ago

Bongo5

Chris Brown adai kuwa Karrueche Tran hakumpiga chini bali yeye ndiye amempiga kibuti, zifahamu sababu

Vyanzo vya karibu na mwimbaji Chris Brown vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris ameshangazwa na habari za hivi karibuni kuwa amepigwa chini na mpenzi wake wa On/Off Karrueche Tran, na kudai kuwa yeye (Chris) ndiye aliyempiga kibuti mrembo huyo. Vyanzo hivyo vimesema kuwa Breezy amemuacha Karrueche baada ya kugundua alikuwa anawasiliana na kuwatumia picha wanaume […]

 

10 years ago

Vijimambo

HIKI NDICHO ALIKIELEZA MANJI NA KUTISHIA KUJIUZULU UENYEKITI YANGA SABABU YA UFISADI KAMA MENGI ATATHIBITISHA


KATIKA PITAPITA, TUMEPATA BARUA YA MWENYEKITI WA YANGA KUPITIA MTANDAO WA www.manjivsmengi.com IKIELEZA MAMBO MENGI NA MWALIKO WA MDAHALO AMBAO MANJI AMEUTOA KWA MENGI.MDAHALO HUO UNAFANYIKA IJUMAA HII NA UTARUSHWA MOJA KWA MOJA NA TBC KUANZIA SAA 12 JIONI HADI SAA 1 USIKU. SOMA BARUA HIYO.
Hisia za Bwana Mengi kwenye vyombo vya habari kuwa kampuni yangu inamiliki fedha za serikali chini ya Commodity Import Support (CIS)

Mengi ametupa lawama akizishutumu kampuni kama Farm Equip, Apollo Tires,...

 

10 years ago

Vijimambo

ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?

Hakuna shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa!

Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi maisha yenye furaha.
Ukweli ni kwamba, kila mtu anao uhuru wa kupenda...

 

10 years ago

GPL

ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?

Hakuna shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa! Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi maisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani