Wema Atoa Sababu ya Yeye Kutaka Mtoto wa Kiume!
Kupitia ukurasa wake mtandaoni Wema Sepetu ambae hivi karibuni aliweka wazi tatizo lake la kutoweza kushika ujauzito, jana usiku ameibua tena hisia za mashabiki wake baada ya kuweka picha akiwa na mtoto wakike,Sasha aliedai kuwa huyo ndiye kipenzi chake cha maisha na kusisitiza kuwa hiyo ndio sababu ya yeye kutaka mtoto wakiume kwani tayari anaye mtoto wa kike.
“Day well spent.... With the Love of my Life.... Reason y I want a baby boy.... Cause I already have my girl... Love her too...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies27 Jul
Picha: Mapokezi ya Wema Sepetu Dar, Asema Sababu ya Yeye Kutokata Tamaa
Hizi ni baadhi ya picha za mapokezi makubwa ya staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu siku ya jana alipokuwa akirudi kutoka Singinda ambako alikwenda kwaajili ya kinyang’anyiro cha kuwania ubunge wa viti maalumu kupitia cha cha mapinduzi (CCM).
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Wema aliweka picha hiyo hapo juu na kueleza kuwa mashabiki wake ndiyo siri ya yeye kuendelea mbele.
Kama umewahi kujiuliza: kwanini Wema Sepetu hakati tamaa? Kwanini hachoki pamoja na changamoto zote anazokumbana nazo?
Jibu...
11 years ago
Bongo509 Jul
Diamond atoa sababu za kuwatumia wazungu kwenye video ya ‘Mdogo mdogo’, script iliandikwa na Adam Kuambiana na ‘baby’ wake (Wema)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-m57BTAlPWcM/VTpHdCt67HI/AAAAAAAACxA/rIeXCwZ6X10/s72-c/mengi.jpg)
MH.Mengi ajibu sababu za yeye kumuoa KYLINE
![](http://4.bp.blogspot.com/-m57BTAlPWcM/VTpHdCt67HI/AAAAAAAACxA/rIeXCwZ6X10/s640/mengi.jpg)
Dk. Reginald Mengi akiwa na Familia yakeDr. Reginald Mengi alipoulizwa kwanini umemuoa Jackline alijubu hivi: Nimemwoa Jackline kwasababu yuko tofauti na wanawake wengine ambao nimeshawahi kuwa nao. 1. Jackline ananipikia chakula kuanzia chai, lunch mpaka dinner.2. Jackline ananifulia nguo zangu kwa mikono yake sio mashine3.Jackline anajua nafasi ya mwanaume na nafasi ya mwanamke kwenye nyumba.4. Jackline ananipenda ndio mana ananifanyia vitu ambavyo wanaume wengi tunapenda kufanyiwa hasa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SNkmIr-3rPc/VYOV35LPrJI/AAAAAAABAVw/ixurVoNEg6I/s72-c/DR.jpg)
BAADA YA KUCHUKUA FOMU, DK SHEIN AELEZEA SABABU ZA KUTAKA KUREJEA MADARAKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNkmIr-3rPc/VYOV35LPrJI/AAAAAAABAVw/ixurVoNEg6I/s640/DR.jpg)
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya...
10 years ago
Bongo516 Jul
Louis van Gaal azitaja sababu za kutaka kumtema Victor Valdes
10 years ago
Bongo530 Sep
Jason Derulo aweka wazi sababu za yeye na Jordin Sparks kuachana
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
Van Vicker Ashangazwa na Habari za Yeye na Wema
Mwigizaji na mwongozaji wa filamu wa nchini Ghana, Van Vicker ameshangazwa na vyombo vya habari za udaku za hapa Bongo, kwa kile ambacho kimelipotiwa kuhusu yeye na muigizaji Wema Sepetu.
Kwenye blogs na magazeti mbalimbali ya udaku hapa Bongo zilijaa habari za kuwa Wema na Van Vicker mbali kucheza movie kuna mambo mambo walifanya eti kwa sababu tu Wema ameachana na aliekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na hivyo alitaka kumrusha roho, kitu ambacho hakina ukweli wowote.
Kupitia ukurasa wake...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0TXvWCpycdEQlPjZIliZh-IAlllVr4r6AMrfHVnAg4MGBkkvEGti-w26lzs4J9yb7B3LqfiZ8EhJlUDj8CBntX/dinamarios.jpg)
DINA MARIOS AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfg87XsxH3hlHbqHJVY5ALaOkCDYQK8qefza736DJHlDg5NHjeZqtXb042pqtISKh52Vwj1QO2ZFHDMbstMteGnL/safina.jpg?width=650)
SAFINA WA MIZENGWE AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME