MICHEZO YA MAJESHI YA POLISI YAENDELEA NCHINI SWAZILAND

Mshindi wa kwanza katika mbio za Kilomita 21, Josepat Joshua (katikati) na wa pili Osward Revelian kutoka Jeshi la Polisi Tanzania wakiimba wimbo wa Taifa baada ya kukabidhiwa medali zao katika uwanja wa Mavuso mjini Mbabane Swaziland katika michezo ya majeshi ya Polisi kwa nchi za Kusini mwa Afrika(SARPCCO) inayoendelea nchini Swaziland.
Mchezaji wa Polisi Tanzania, Mohamed Ibrahim kutoka Jeshi la Polisi Tanzania akirusha tufe katika uwanja wa Mavuso mjini Mbabane Swaziland katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
POLISI WAJIFUA TAYARI KWA MICHUANO YA MAJESHI NCHINI SWAZILAND

Picha na Maktaba ya Polisi.Na Frank Geofray wa Jeshi la Polisi.Timu za Jeshi la Polisi Tanzania zitakazoshiriki michezo ya Umoja wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi kwa nchi za kusini mwa Afrika (SARPCCO), mwishoni mwa mwezi julai nchini Swaziland zinaendelea kujifua vyema katika kambi yao inayoendelea katika chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (DPA). Akizungumza...
10 years ago
Michuzi
Baraza la michezo ya Majeshi Tanzania ladhamiria kutatua changamoto ya michenzo nchini

Tanzania imekuwa haifanyi vizuri sana katika michezo mingi ya Kimataifa inayoshiriki kwa hivi sasa.Hii inatokana na changamoto nyingi zinanazoikabili Taifa miongoni mwake ikiwa ni kutokuwapo kwa michezo ya majeshi kama...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Taifa Stars yaendelea kujifua tayari kwa kuwakabili Swaziland
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
WANARIADHA WA POLISI WAREJEA KUTOKA SWAZILAND

11 years ago
Michuzi.jpg)
SERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI
.jpg)
.jpg)
11 years ago
MichuziMKUU WA MAJESHI TANZANIA JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE AFUNGUA KIWANJA KIPYA CHA MICHEZO
10 years ago
Vijimambo
NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO

11 years ago
MichuziAICC YAENDELEA KUWAKILISHA KATIKA MICHEZO YA MEI MOSI MJINI MOROGORO
10 years ago
MichuziMICHEZO YA MAJESHI YA FUNGULIWA RASMI LEO KATIKA UWANJA WA MAJI MAJI SONGEA MKOANI RUVUMA

Na Amon Mtega ,SONGEA
MICHEZO ya majeshi inayoshirikisha vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama briged ya kanda ya kusini imefunguliwa rasmi na kaimu mkuu wa mkoa wa Ruvuma ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Songea ,Pr...