Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mido amjia juu Waziri Misri

Kocha wa Zamalek, Ahmed Mido Hossam amesema amefurahishwa na ushindi wa bao 1-0 walioupata dhidi ya Kabuscorp of Angola ingawa hajafurahishwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo kwa sababu imezuia mashabiki wa soka nchini Misri kuhudhuria kwenye mechi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

RC amjia juu mkandarasi ‘mzembe’

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amemjia juu mkandarasi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya Ruaha - Sali, wilayani Ulanga kwa kushindwa kukamilisha ujenzi licha ya kuongezewa muda.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge amjia juu DC sakata la wanawake wa Rombo

Moshi. Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini amewajia juu Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Lemrise Kipuyo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya hiyo, Anthony Tesha akiwataka wajiuzulu nyadhifa zao kwa kushindwa kusimamia sheria wilayani humo.

 

10 years ago

Habarileo

Zitto amjia juu Ngeleja kwa kumtaja

Zitto Kabwe.MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto amemjia juu Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja kwa kumtaja juzi mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma wakati akijitetea, kuwa Zitto alipewa fedha na kampuni ya PAP na NSSF.

 

11 years ago

BBC

Mido named as new Zamalek coach

Former Tottenham Hotspur and Egypt striker Mido is appointed as the new coach of Zamalek.

 

9 years ago

BBC

Discipline key for Mido at Zamalek

Mido says 'maintaining discipline' will be key as he returns for a second stint as coach of Egyptian champions Zamalek.

 

11 years ago

BBC

Zamalek end the reign of coach Mido

Former Egypt international striker Ahmed 'Mido' Hossam is "relieved of his duties" as coach of Egyptian side Zamalek.

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA AFYA APOKEA VIFAA VYA TIBA KUTOKA MISRI

 …Akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Balozi Hossam Moharam akiwa kwenye hafla hiyo. Waziri wa…

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Benard Membe aitetea Misri maji ya Mto Nile

>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe ameendelea kuweka msimamo kuwa Tanzania itaendelea kuitetea Misri kuhusu matumizi ya maji ya Mto Nile.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Mwakyembe Apokea Ujumbe wa Wadau wa Michezo toka Nchini Misri


Kiongozi wa ujumbe toka nchini Misri akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) wakati ujumbe huoulipomtembelea Waziri Mwakyembe katika ofisi ndogo jijini Dar es Salaam mapema hii leo na kujadiliana masuala mbalimbali ya maendeleo ya sekta ya michezo ikiwemo la ujenzi wa eneo changamani la michezo.
Balozi wa Misri nchini, Mhe. Gaber Mohamed Abulwafa akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani