Mifuko ya nailoni yaua mifugo 500 Dodoma
IDADI ya mifugo inayokufa kwa kula mifuko ya nailoni inazidi kuongezeka katika Kata ya Hombolo. Diwani wa Kata ya Hombolo Manispaa ya Dodoma, Mussa Kawea katika mahojiano na mwandishi wa habari hizi alisema katika kipindi cha wiki mbili mifugo inayokufa imefikia 500 huku wafugaji wengine wakiingia katika umasikini kwa kupoteza ng'ombe zaidi ya 20.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Nov
Kampuni ya gesi yasaidia mifuko 1,500 ya saruji
KAMPUNI ya uchimbaji wa gesi ya Pan African Energy imetoa msaada wa mifuko 1,500 ya saruji yenye thamani ya Sh milioni 18 kwa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa ili kuwezesha ujenzi wa maabara katika shule zake za sekondari.
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Mifuko ya magari yaua watu saba
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YyUfRhmKTQU/U-JfFci3QmI/AAAAAAAF9p8/35Cv3NfO5qw/s72-c/unnamed+(58).jpg)
MH. PINDA AFUNGUA MASHINDANO YA MIFUGO DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YyUfRhmKTQU/U-JfFci3QmI/AAAAAAAF9p8/35Cv3NfO5qw/s1600/unnamed+(58).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0BR4SVd8ZsQ/U-JfD4DAbeI/AAAAAAAF9ps/pcQ-bRBBe_c/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AfpJR_qe5c0/U-JfD_XSKNI/AAAAAAAF9pw/TooGQB31WCA/s1600/unnamed+(60).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Wizara ya Mifugo yabanwa Nanenane Dodoma
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imetakiwa kuhakikisha inawapa washindi wote zawadi walizoahidi katika kilele cha maonyesho ya Nanenane 2013 kabla ya kuanza kwa maonyesho ya Kanda ya Kati...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHJQbN51R5097aEYomqk76mqD4RosJ5tP8lDOFqF0TKK7XOrpa9iyqCUMAYiOMmj0CfkIlaQPlIOLY8asg5acI*/breakingnews.gif)
AJALI YA BASI YAUA 20 DODOMA
10 years ago
Habarileo12 Apr
Ajali ya basi yaua wanne Dodoma
WATU Wanne wamekufa na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Nyahunge lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Morogoro kugongana na gari dogo eneo la Nzuguni Mjini hapa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOLwmywPVz5h6CAnRColvdR4qdqx6DBrNnDRGRKUCa1v4AByj*bG2oZFAru8QlvXEPsFsnfkG6hOCwDNsBmQSopp/unyama.jpg?width=650)
MTOTO AVALISHWA NAILONI MKONONI, ACHOMWA MOTO
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1.Maofisa-wa-Global-Publishers-idara-ya-Usambazaji-Jordan-Ngowi-na-Jimy-Haoroub-waloiko-mbele-wakitundika-Naironi-ya-karatasi-kwa-ajili-ya-kufunikia-gazeti-eneo-la-kituo-cha-daladala-Mwenge..jpg)
GLOBAL YAGAWA NAILONI KWA WAUZAJI WA MAGAZETI DAR
10 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LATOLEA UFAFANUZI KUHUSU KUKAMATWA KWA MTU MWENYE ASILI YA KIASIA AKIWA NA TSHS. 722,500,00 KATIKA HOTELI YA ST. GASPER
YAH: TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWAVYOMBO VYA HABARI TAREHE 14/07/2015
Napenda kutoa taarifa fupi kuhusu tukio lililotokea tarehe 11/07/2015 majira ya saa 10:00 hrs huko katika Hoteli ya St. Gasper hapa mjini Dodoma, kuwa wananchi walitoa taarifa majira ya saa nne asubuhi kwamba kuna mtu mmoja mwenye asili ya Kiasia amekamatwa na wananchi...