Migomba ya Msumbiji yazuiwa kuingia nchini
SERIKALI imepiga marufuku uingizaji wa mbegu za migomba kutoka nchini Msumbiji baada ya kuripotiwa nchi hiyo kukumbwa na ugonjwa hatari wa migomba ujulikanao kama mnyauko fuzari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Jan
Magari 150 Tanzania yazuiwa kuingia Kenya
MAGARI zaidi ya 150 yanayofanya safari za kupeleka wageni na watalii maarufu ‘Shuttle’ kati ya jijini Arusha na Moshi kwenda katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata nchini Kenya yamezuiliwa kuingia katika uwanja huo toka Desemba 22 mwaka jana.
10 years ago
VijimamboRAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...
11 years ago
Michuzi07 Feb
club rahaleo show ndani ya mtandao kupitia TBC 1 chini ya manju wa muziki nchini Masoud Masoud mariam wa migomba
Kwa video hii na zingine kibao nenda youtube
kisha search 'Club Rahaleo show'
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bbMcK5KN-BU/Xo8Ejy-NScI/AAAAAAALmpY/ZE-MwAuyrtAi0EtJdHAe60INyxptisUtQCLcBGAsYHQ/s72-c/SIRRO1.jpg)
KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,
![](https://1.bp.blogspot.com/-bbMcK5KN-BU/Xo8Ejy-NScI/AAAAAAALmpY/ZE-MwAuyrtAi0EtJdHAe60INyxptisUtQCLcBGAsYHQ/s640/SIRRO1.jpg)
11 years ago
Michuzi13 Feb
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU 08 RAIA WA NCHINI KONGO BAADA YA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI .
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU 08 WOTE RAIA NA WAKAZI WA SANGE – BUKAVU NCHINI KONGO WAKIONGOZWA NA HESABU LUHIGITA (16) BAADA YA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI. WATUHUMIWA HAO WALIKAMATWA MNAMO TAREHE 12.02.2014 MAJIRA YA SAA 13:00HRS MCHANA HUKO KATIKA KIJIJI CHA IKUMBILO WILAYA YA ILEJE WAKIWA WANASAFIRISHWA KWENYE GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI T.136 AQC AINA YA FUSO LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA MUSSA DISI (35) NA MATEO KADUMA (30) WOTE WAKAZI WA ISONGOLE AMBAO PIA...
10 years ago
Vijimambo16 May
RAIS WA MSUMBIJI KUANZA ZIARA YA KITAIFA NCHINI
![](http://www.herald.co.zw/wp-content/uploads/2014/07/Nyusi.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 17 Mei, 2015 kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu nchini kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.
Mhe. Rais Nyussi atapokelewa na mwenyeji wake Mhe. Rais Kikwete mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Mhe. Rais Nyusi atakagua Gwaride la Heshima na kupigiwa mizinga 21.
Baada...
10 years ago
Dewji Blog18 May
Rais Nyusi wa Msumbiji apokelewa nchini kwa nderemo na vifijo
![](http://2.bp.blogspot.com/-pQCR1NJUNCE/VVkWnuDGkyI/AAAAAAAHX4E/33HLt_B9ha4/s640/n1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IZ_B-k7o0Lw/VVkW0-iOEmI/AAAAAAAHX4Y/l8Adblbmy4Q/s640/n2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-w8PgjDszxX8/VVkXimT3SNI/AAAAAAAHX5w/9EkoZGVzCYg/s640/n3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S-gu41gP7M4/VVkYGMb0O6I/AAAAAAAHX6k/0sD2qEFqSzo/s640/n4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iTg6dy-M0f4/VVkYuvjtK0I/AAAAAAAHX74/1VJG3wB_Rgc/s640/n5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JpmtU2RO1RM/VVkZxj_Y4eI/AAAAAAAHX9I/jQbxAQiDpIc/s640/n6.jpg)
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Sodo za mabaki ya migomba Rwanda
Mradi wa kipekee umeanzishwa nchini Rwanda wa kutengeneza sodo ama taulo zinazotumiwa na wanawake wakati wa hedhi kwa kutumia nyuzi zitokanazo na mabaki ya migomba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania