Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mikakati ya kubuni haiwezi kumaliza ajali

Wiki hii, Taifa lilikumbwa na msiba mkubwa baada ya watu 50 kufariki katika ajali mbaya iliyotokea Mafinga Changarawe mkoani Iringa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasa na mikakati ya kumaliza kero ya maji

MRADI wa upanuzi wa mtambo wa Ruvu Juu na mingine inayoendelea inatarajiwa kuleta ahueni kubwa ya huduma za maji katika jiji la Dar es Salaam mara itakapokamilika. Kaimu Mkurugenzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI ,SEKTA BINAFSI WATAKIWA KUKAA NA KUBUNI MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA MUHIMU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA CORONA


Na Woinde Shizza,ARUSHA

SERIKALI pamoja na sekta binafsi zimetakiwa kukaa pamoja ili kubuni mikakati ya namna ya kuendesha sekta muhimu za uchumi kama vile sekta ya utalii ,sekta ya usafirishaji ,sekta ya kilimo ,sekta ya nishati pamoja na ufugaji bila kungoja kuisha kwa janga la Corona 19.

Hayo yamebainishwa na Mtendaji mkuu wa marafiki wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Moses Adam wakati akizungumza na Michuzi Tv ambapo alisema wanatakiwa kuja na njia mbadala endelevu zitakazoendelea ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa Dini kutoka nchi 17 wakutana jijini Dar kujadili mikakati ya kumaliza mambukizi mapya ya VVU/UKIMWI

Mshereheshaji wa mkutano huo Prof. Venant Nantulya akiwa katika hatua ya uendeshaji wa mkutano wa Viongozi wa ngazi ya juu wa dini katika kupambana na kuweka mikakati ya  kuharakisha kumaliza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI.(Picha na Geofrey Adroph).

Mufti mkuu wa Zambia, Sheikh Assadullah Mwale akifungua kwa dua katika mkutano wa viongozi wa dini wa nchi za mashariki na kusini mwa Afrika uliofanyika jana jijini Dar.

Bi. Vanessa Anyoti kutoka YWCA Tanzania (kushoto) akizungumza kuhusiana...

 

9 years ago

StarTV

Jeshi la polisi laombwa kuboresha mikakati Ili Kudhibiti Ajali Za Barabarani  

 

Siku moja baada ya ajali ya basi kugongana na Lori la mafuta na kusababisha vifo vya watu 12 papo hapo na kujeruhi wengine 18 mkoani Singida, baadhi ya wanachi wameliomba Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani, kuangalia upya mikakati yake kudhibiti tatizo hilo nchini.

Ajali hiyo ilitokea jana Jumanne majira ya saa 1:30 usiku katika eneo la Kizonzo- Shelui Wilaya ya Iramba barabara kuu ya Singida-Mwanza na kulihusisha basi la Kampuni ya TAKBIIRY lenye namba za usajili T. 230 BRJ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afghanistan kubuni serikali ya umoja

Makubaliano ya kubuni serikali ya umoja wa kitaifa nchini Afghanistan yanatarajiwa kutiwa sahihi hii leo

 

9 years ago

BBCSwahili

Ugiriki:Waasi wa Syriza kubuni chama

Siku moja baada ya waziri mkuu wa Ugiriki kutangaza kujiuzulu kwake, hatua hiyo imechochea uwezekano wa kufanyika kwa uchaguzi

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI ZATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akimsikiliza Mkuu wa Gereza la Kwitanga, SSP Dominic Christian aliyekuwa anatoa maelezo juu ya uzalishaji wa mbegu za Chikichi katika gereza hilo.Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akizungumza jambo na Mkurugenzi wa kituo cha utafiti wa zao la chikichi  Kihinga Dkt.  Filson Kagimbo.Katibu Mkuu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika picha ya pamoja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa ya kiarabu kubuni jeshi la pamoja

Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi amesema kuwa viongozi wenzake wa nchi za kiarabu wamekubali kuunda jeshi la pamoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana nchini watakiwa kubuni miradi endelevu

Vijana wametakiwa kuwa wabunifu na kuanzisha miradi endelevu ambayo itakuwa na manufaa kwao binafsi na jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani