Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mila potofu zachangia udumavu Ruangwa

KUKUMBATIA mila potofu na uelewa mdogo juu ya masuala ya ya lishe kwa watoto na wajawazito ni moja ya sababu zinazochangia tatizo la udumavu na utapiamlo mkoani Lindi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dk Kone akemea mila potofu

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Paseko Kone amewaonya wale wote wanaokosoa uumbaji wa Mungu kwa kisingizio cha kutekeleza mila na desturi za makabila yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Mila potofu zawaathiri mabinti Siha

Licha ya Serikali na mashirika yasiyoyakiserikali kupinga mila potofu zinazofanywa na jamii ya wafugaji kwa watoto wa kike, mila hizo zimeendelea kuwaathiri watoto hao wilayani Siha mkoani Kilimanjaro.

 

11 years ago

Mwananchi

Simu zachangia kuharibu ndoa nchini

Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Magomeni Padri Dk Joseph Matumaini amedai kuwa mawasiliano ya simu yametajwa kuwa chanzo cha ndoa nyingi nchini kuvunjika na kusababisha watoto kuzikimbia familia zao na kwenda kuishi maisha ya mitaani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pombe za kienyeji zachangia ongezeko la VVU Kigoma

WATANZANIA wengi hasa waliopo vijijini wanakunywa sana pombe za kienyeji kuliko zinazotengenezwa viwandani. Takwimu za Shirika la afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye...

 

5 years ago

Michuzi

ASASI ZA KIRAIA ZACHANGIA SH MILIONI 79 KWA AJILI YA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA


Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali kwenye mapambano ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Mashirika yasiyo ya kiserikali (AZAKI) yamechangia Sh Milioni 79 kwa kamati ya kupambana na ugonjwa huo inayoongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

AZAKI pia imeahidi kutoa elimu kwa jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuhamasisha wananchi kutumia vitakasa mikono, maji ya kunawa, kuepuka misongamano isiyo ya lazima na kuwahi kituo cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Asilimia 40 ya watoto wana udumavu

>Asilimia 42 ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano nchini wana udumavu huku asilimia 50 ya kaya zikiwa hazitumii  chumvi yenye madinijoto kwenye mlo wa kila siku hivyo, kuhatarisha ukuaji wa akili kwa watoto.

 

10 years ago

Mwananchi

Maisha ya watoto yanavyopotea kutokana na udumavu

Taifa lenye maendeleo linahitaji watu wenye afya ya mwili na akili. Lakini huenda Tanzania ikaendelea kuathirika kwa kuwa na watoto wenye udumavu wa akili na mwili.

 

10 years ago

Habarileo

Arusha pamoja na kuwapo chakula, udumavu asilimia 44

WAKATI kiwango cha udumavu wa watoto chini ya miaka mitano nchini kikifikia asilimia 42 kitaifa, hali ni mbaya zaidi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini ukiwemo Mkoa wa Arusha ambao una asilimia 44 ya watoto chini ya miaka mitano wanaokabiliwa na tatizo hilo.

 

10 years ago

Dewji Blog

ANGONET yahamasisha lishe kutokomeza udumavu na Utapiamlo

IMG_0422

Katibu Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu  jijini Arusha, Petter Bayo (kushoto)  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo. Katikati ni Mratibu wa Angonet, Petro Ahham na kulia ni Jovitha Mlay mwanachama wa shirika hilo.(Picha na Mahmoud Ahmad).

IMG_0437

Mratibu wa Angonet ,Petro Ahham akifafanua juu ya Mkakati wa Lishe wa taifa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani