Simu zachangia kuharibu ndoa nchini
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Magomeni Padri Dk Joseph Matumaini amedai kuwa mawasiliano ya simu yametajwa kuwa chanzo cha ndoa nyingi nchini kuvunjika na kusababisha watoto kuzikimbia familia zao na kwenda kuishi maisha ya mitaani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...
10 years ago
Michuzi02 Sep
Promoter Britts Events Wafunguka juu ya kAshafa nzito ya kuharibu shoo ya Diamond nchini ujerumani
![1384142_505866609511143_1668869613_n](http://www.swahili-movies.com/wp-content/uploads/2014/09/1384142_505866609511143_1668869613_n.jpg)
MY PEOPLE FIRST OF ALL, I WOULD LIKE TO EXPRESS MY HEART BY TELLING THE GENERAL PUBLIC AND THE FANS OF DIAMOND PLATNUMZ, THAT WE FROM BRITTS EVENTS MANAGEMENT IS VERY SORRY FOR WHAT HAPPENED LAST NIGHT, DURING THE CONCERT OF DIAMOND PLATNUMZ. IT WAS NEVER PLANNED FOR THE CONCERT TO BE DELAYED OR FOR THE ARTIST NOT TO PERFORM.
HERE I WOULD TELL YOU ALL THE TRUTH OF WHAT REALLY HAPPENED ABOUT THIS EVENT FOR YOU ALL TO KNOW THE TRUTH.
THE PROJECT OF DIAMOND CONCERT...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*XHmTV1chxJ9v0VVVrpRlXyiXyeBIo36jYHeqB4QMCrgBEvF11gUJe8-R5B6ckSRbTCXQE6yD2DIwl3OxZ60vS*/1.jpg?width=650)
BOL MKOMBOZI WA WATUMIAJI WA SIMU NCHINI HAPA NCHINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxWvTZ6M12dL4s887lFkd5uSr270K9Xe0lwLenFiwgAoeiB12yuK5q79Flvtzmr9u83HPGFGRMvnkvUgBDcm0HA0/womansnoopingcellphonemaninbedw724.jpg?width=650)
NDOA MWILI MMOJA, SIMU USISHIKE YA MWENZI WAKO! MH!
9 years ago
Habarileo04 Dec
Mila potofu zachangia udumavu Ruangwa
KUKUMBATIA mila potofu na uelewa mdogo juu ya masuala ya ya lishe kwa watoto na wajawazito ni moja ya sababu zinazochangia tatizo la udumavu na utapiamlo mkoani Lindi.
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Pombe za kienyeji zachangia ongezeko la VVU Kigoma
WATANZANIA wengi hasa waliopo vijijini wanakunywa sana pombe za kienyeji kuliko zinazotengenezwa viwandani. Takwimu za Shirika la afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1lXnAUzo5O8/Xo3kCsl4rxI/AAAAAAALmjg/vqegO0e1Iz4EEU8CMXPyeYfVXQpATkg7gCLcBGAsYHQ/s72-c/9c4c9c61-31e4-484b-8337-fc25c390cc0b.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZACHANGIA SH MILIONI 79 KWA AJILI YA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali kwenye mapambano ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Mashirika yasiyo ya kiserikali (AZAKI) yamechangia Sh Milioni 79 kwa kamati ya kupambana na ugonjwa huo inayoongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
AZAKI pia imeahidi kutoa elimu kwa jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuhamasisha wananchi kutumia vitakasa mikono, maji ya kunawa, kuepuka misongamano isiyo ya lazima na kuwahi kituo cha...
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Vijana wanaofunga ndoa wapungua nchini
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Ndoa za utotoni bado ni janga nchini