Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simu zachangia kuharibu ndoa nchini

Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Magomeni Padri Dk Joseph Matumaini amedai kuwa mawasiliano ya simu yametajwa kuwa chanzo cha ndoa nyingi nchini kuvunjika na kusababisha watoto kuzikimbia familia zao na kwenda kuishi maisha ya mitaani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini

x

Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni  kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale, Modewjiblog.com

Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...

 

10 years ago

Michuzi

Promoter Britts Events Wafunguka juu ya kAshafa nzito ya kuharibu shoo ya Diamond nchini ujerumani

1384142_505866609511143_1668869613_nAwin Williams Akpomiemie.

MY PEOPLE FIRST OF ALL, I WOULD LIKE TO EXPRESS MY HEART BY TELLING THE GENERAL PUBLIC AND THE FANS OF DIAMOND PLATNUMZ, THAT WE FROM BRITTS EVENTS MANAGEMENT IS VERY SORRY FOR WHAT HAPPENED LAST NIGHT, DURING THE CONCERT OF DIAMOND PLATNUMZ. IT WAS NEVER PLANNED FOR THE CONCERT TO BE DELAYED OR FOR THE ARTIST NOT TO PERFORM. 

HERE I WOULD TELL YOU ALL THE TRUTH OF WHAT REALLY HAPPENED ABOUT THIS EVENT FOR YOU ALL TO KNOW THE TRUTH.

THE PROJECT OF DIAMOND CONCERT...

 

11 years ago

GPL

BOL MKOMBOZI WA WATUMIAJI WA SIMU NCHINI HAPA NCHINI

Afisa Mtendaji Mkuu wa BOL, Afrika Mashariki, Abdullatif Bouziani, akizungumza kwenye uzinduzi huo. …Akizindua rasmi huduma hizo.…

 

10 years ago

GPL

NDOA MWILI MMOJA, SIMU USISHIKE YA MWENZI WAKO! MH!

DAH! Mwaka ndiyo huo unakatika, eti zimebaki siku mbili tu, leo na kesho, keshokutwa mwaka mpya!
Leo katika mada yetu nazungumzia jinsi wapendanao wanavyotenganishwa na simu za mkononi huku kwenye upande wa ndoa ikisemwa watu wawili waliooana wanakuwa mwili mmoja. Labda turudi katika imani mbalimbali, maandiko yanasema kuwa, mwanamke na mwanaume wanafunga ndoa na kuishi kama mke na mume, wanakuwa si wawili tena bali mwili...

 

9 years ago

Habarileo

Mila potofu zachangia udumavu Ruangwa

KUKUMBATIA mila potofu na uelewa mdogo juu ya masuala ya ya lishe kwa watoto na wajawazito ni moja ya sababu zinazochangia tatizo la udumavu na utapiamlo mkoani Lindi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pombe za kienyeji zachangia ongezeko la VVU Kigoma

WATANZANIA wengi hasa waliopo vijijini wanakunywa sana pombe za kienyeji kuliko zinazotengenezwa viwandani. Takwimu za Shirika la afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye...

 

5 years ago

Michuzi

ASASI ZA KIRAIA ZACHANGIA SH MILIONI 79 KWA AJILI YA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA


Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali kwenye mapambano ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Mashirika yasiyo ya kiserikali (AZAKI) yamechangia Sh Milioni 79 kwa kamati ya kupambana na ugonjwa huo inayoongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

AZAKI pia imeahidi kutoa elimu kwa jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuhamasisha wananchi kutumia vitakasa mikono, maji ya kunawa, kuepuka misongamano isiyo ya lazima na kuwahi kituo cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana wanaofunga ndoa wapungua nchini

>Ugumu wa maisha unaozikabili familia nyingi nchini unaelezwa kusababisha athari nyingi kwa maendeleo ya jamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndoa za utotoni bado ni janga nchini

Wakati watoto wenzake wakijiandaa kwenda shule asubuhi, Julian Marwa (14) mkazi wa Kijiji cha Nyamwaga wilayani Tarime, Mara, yuko nyumbani akiandaa chai kwa ajili ya mume wake ambaye ni mtu mzima wa miaka 45.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani