Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOL MKOMBOZI WA WATUMIAJI WA SIMU NCHINI HAPA NCHINI

Afisa Mtendaji Mkuu wa BOL, Afrika Mashariki, Abdullatif Bouziani, akizungumza kwenye uzinduzi huo. …Akizindua rasmi huduma hizo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA BARAZA LA WATUMIAJI WA USAFIRI WA ANGA HAPA NCHINI

 Naibu Katibu wa wizara ya uchukuzi, Monica Mwamunyange akizungumza na waandishi wa habari  kuhusiana na uzinduzi wa Baraza la watumiaji wa huduma za usarifishaji wa Anga hapa nchini mara baada ya kutoka kwenye mkutano uliofanyika katika Hotel ya New Africa jijini Dar es Salaam leo. Katibu mtendaji wa Baraza la watumiaji wa usafiri wa anga hapa nchini Hamza Johari akizungumza na waandishi wa habari  kuhusiana watumiaji wa usafiri wa anga kutokuweka vitu vya thamani kubwa kwenye mabegi...

 

5 years ago

Michuzi

KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.  Aidha, IGP Sirro, amewataka Watanzaania hususan vijana kuacha kutumiwa na watu wachache  wanaowataka wajiingize kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kufanya uhalifu.IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa eneo...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali imesema inatambua VICOBA kama mkombozi wa wanyonge nchini.

Na Eleuteri Mangi- Dodoma 28/11/2014. Serikali imesema kuwa VICOBA ni taasisi binafsi inayomilikiwa na wananchi wenyewe vikiwa ni miongoni mwa tasisi ndogo za kifedha ambazo ni za kibinafsi na huanzishwa, kuendeshwa na kusimamiwa ama kijijini, kitongojini na hata kwenye kata.
Hayo yamebainishwa leo Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Rungwe Magharibi Prof. David Mwakyusa (CCM) ambaye alitaka kujua kama Serikali inatambua VICOBA ...

 

11 years ago

Mwananchi

Simu yawa mkombozi wa wajawazito Kilindi

>Wengi kati yetu wanaifahamu simu kwa matumizi yao ya mawasiliano ambayo huitumia kuzungumza kirafiki au kutumiana ujumbe.

 

11 years ago

Mwananchi

Simu zachangia kuharibu ndoa nchini

Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Magomeni Padri Dk Joseph Matumaini amedai kuwa mawasiliano ya simu yametajwa kuwa chanzo cha ndoa nyingi nchini kuvunjika na kusababisha watoto kuzikimbia familia zao na kwenda kuishi maisha ya mitaani.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Kampuni za simu nchini zinawaibia wateja wao’

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amekiri kwamba kuna tatizo katika kampuni za simu nchini la kuwaibia wateja wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Simu, mitandao vimeua stadi za uandishi nchini

nchini. Shindano hilo huratibiwa kila mwaka na Umoja wa Watanzania waliosoma Japan (Jata) chini ya udhamini wa Shirika la Maendeleo la Japani(Jica).

 

9 years ago

Michuzi

WAZIMBABWE WAJIFUNZA TUMBAKU HAPA NCHINI

Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano Kampuni ya Tumbaku Tanzania na Kiwanda cha Kusindika Tumbaku (TTPL), Bw.Richard Sinamtwa (Kulia) akifafanua jambo kwa wadau wa tumbaku kutoka Zimbabwe walipotembelea kiwanda hicho kwa ziara ya mafunzo Mjini  Morogoro.Meneja Uhusiano wa Kiwanda cha Kusindika Tumbaku (TTPL), Bw. Mazehiew Folleto (Kulia) akifafanua jambo kwa wadau wa tumbaku kutoka Zimbabwe walipotembelea kiwanda hicho kwa ziara ya mafunzo Mjini  Morogoro.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani