Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIMBABWE WAJIFUNZA TUMBAKU HAPA NCHINI

Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano Kampuni ya Tumbaku Tanzania na Kiwanda cha Kusindika Tumbaku (TTPL), Bw.Richard Sinamtwa (Kulia) akifafanua jambo kwa wadau wa tumbaku kutoka Zimbabwe walipotembelea kiwanda hicho kwa ziara ya mafunzo Mjini  Morogoro.Meneja Uhusiano wa Kiwanda cha Kusindika Tumbaku (TTPL), Bw. Mazehiew Folleto (Kulia) akifafanua jambo kwa wadau wa tumbaku kutoka Zimbabwe walipotembelea kiwanda hicho kwa ziara ya mafunzo Mjini  Morogoro.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

WAZIMBABWE WAJIFUNZA TUMBAKU TANZANIA

Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano Kampuni ya Tumbaku Tanzania na Kiwanda cha Kusindika Tumbaku (TTPL), Bw.Richard Sinamtwa (Kulia) akifafanua jambo kwa wadau wa tumbaku kutoka Zimbabwe walipotembelea kiwanda hicho kwa ziara ya mafunzo Mjini  Morogoro.Meneja Uhusiano wa Kiwanda cha Kusindika Tumbaku (TTPL), Bw. Mazehiew Folleto (Kulia) akifafanua jambo kwa wadau wa tumbaku kutoka Zimbabwe walipotembelea kiwanda hicho kwa ziara ya mafunzo Mjini  Morogoro.
Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano Kampuni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pato la mkulima wa Tumbaku nchini limeongezeka na kufikia milioni 4.9 kwa mwaka

DSC05339

Mkuu wa wilaya ya Manyoni mkoani Singida,Fatma Toufiq, akifungua mkutano wa wadau wa zao la Tumbaku nchini unaoendelea kwenye ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Singida.Dc huyo alifungua mkutano huo kwa niaba ya mkuu wa mkoa.

DSC05331

Baadhi ya viongozi na wadau wa zao la Tumbaku nchini wanaohudhuria mkutano wa kujadili maendeleo ya zao hilo hapa nchini.(Picha naNathaniel Limu).

DSC05343

Na Nathaniel Limu, Singida

MAPATO ya mkulima mmoja mmoja wa tumbaku nchini, yameongezeka kutoka wastani wa zaidi...

 

5 years ago

Michuzi

KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.  Aidha, IGP Sirro, amewataka Watanzaania hususan vijana kuacha kutumiwa na watu wachache  wanaowataka wajiingize kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kufanya uhalifu.IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa eneo...

 

11 years ago

GPL

BOL MKOMBOZI WA WATUMIAJI WA SIMU NCHINI HAPA NCHINI

Afisa Mtendaji Mkuu wa BOL, Afrika Mashariki, Abdullatif Bouziani, akizungumza kwenye uzinduzi huo. …Akizindua rasmi huduma hizo.…

 

9 years ago

Mwananchi

Wazimbabwe wazibeba Simba, Yanga

Usajili uliofanywa na Yanga na Simba kwa kuwasajili nyota kutoka Zimbabwe umezaa matunda kutokana na viwango vilivyoonyeshwa na nyota hao hadi sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazimbabwe wapinga ubaguzi Afrika kusini

Wazimbambwe wameandamana nje ya ubalozi wa Afrika Kusini, Harare wakitaka kusitishwa kwa mashambulizi dhidi ya wahamiaji A kusini

 

10 years ago

Michuzi

yanga yatakata uwanja wa Taifa leo,Yawatungua wazimbabwe bao 5-1

Timu ya Yanga leo imeichapa Bad 5-1 timu ya Fc Platinum ya nchini Zimbabwe katika mchezo wa Mashindano ya Kombe la shirikisho,katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. 
 Picha na habari zaidi zitawajia punde.

 

11 years ago

Mwananchi

Bodaboda 268 wajifunza

Waendesha bodaboda 268 wa Mkoa wa Manyara wamepatiwa leseni na mafunzo ya kufuata sheria za usalama barabarani kwa lengo la kuwaepusha na usumbufu wa kukamatwa mara kwa mara pamoja na ajali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani