Bodaboda 268 wajifunza
Waendesha bodaboda 268 wa Mkoa wa Manyara wamepatiwa leseni na mafunzo ya kufuata sheria za usalama barabarani kwa lengo la kuwaepusha na usumbufu wa kukamatwa mara kwa mara pamoja na ajali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Vyama 1,268 vyafutwa
Johanes Respichius na Elizabeth Nyambele, Dar es Salaam
SERIKALI imevifuta vyama vya kijamii 1,268 katika daftari la msajili wa vyama kwa kushindwa kutimiza masharti ya usajili wake.
Taarifa ya kufutwa kwa vyama hivyo ilitolewa jana na msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Issac Nantanga, mbele ya waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo.
Alisema kazi ya kuhakiki vyama hivyo ina lengo la kufuta vyama vyote vilivyoshindwa kutekeleza masharti ya sheria ya vyama (Sura ya 337)...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvQTl0b_1k/VBHeCrjmC-I/AAAAAAAC7sY/s-uiGY5YLjk/s72-c/10683687_491115444359256_3412387166859006512_o.jpg)
Sh. bilioni 268 kutumika Uchaguzi Mkuu mwaka huu
![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvQTl0b_1k/VBHeCrjmC-I/AAAAAAAC7sY/s-uiGY5YLjk/s640/10683687_491115444359256_3412387166859006512_o.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, aliyasema hayo jana wakati akiahirisha Bunge mjini Dodoma na kuongeza kuwa maandalizi ya uchaguzi huo yanaenda vizuri.
Alisema vifaa mbalimbali kwa ajili kuufanikisha uchaguzi huo tayari vimeanza kununuliwa.
Pinda alisema kuwa miongoni mwa maandalizi ya uchaguzi huo ni uandikishaji wa daftari la kudumu la...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-3vEYBGlbPrk/VeVz90NOOhI/AAAAAAAAgjI/nNmYs_z9uio/s72-c/Two.jpg)
WAZIMBABWE WAJIFUNZA TUMBAKU TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3vEYBGlbPrk/VeVz90NOOhI/AAAAAAAAgjI/nNmYs_z9uio/s640/Two.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wm02VUwogOc/VeV0BNhEd1I/AAAAAAAAgjY/FjAUcA2hdfk/s640/One.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xxd9FoaWSeQ/VmrWMw9wLTI/AAAAAAAILro/mFW0JU6NCUY/s72-c/IMG_7369.jpg)
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YAFUTA VYAMA VYA KIJAMII 1,268
![](http://3.bp.blogspot.com/-xxd9FoaWSeQ/VmrWMw9wLTI/AAAAAAAILro/mFW0JU6NCUY/s640/IMG_7369.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eaXdoQzNbAo/VmrWM3bUPiI/AAAAAAAILrk/mq7_igWZcDM/s640/IMG_7372.jpg)
Na Zainabu Hamisi, Globu ya Jamii.WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imefuta vyama...
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA
10 years ago
Habarileo08 Oct
Madiwani Kyela wajifunza usafi Kibaha
MADIWANI wa Halmashauri ya Kyela mkoani Mbeya wamefanya ziara ya mafunzo kwa kutembelea Halmashauri ya Mji Kibaha kujifunza uboreshaji na usafi wa mazingira.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3vEYBGlbPrk/VeVz90NOOhI/AAAAAAAAgjI/nNmYs_z9uio/s72-c/Two.jpg)
WAZIMBABWE WAJIFUNZA TUMBAKU HAPA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-3vEYBGlbPrk/VeVz90NOOhI/AAAAAAAAgjI/nNmYs_z9uio/s640/Two.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
#HapaKaziTu! Wizara ya Mambo ya Ndani yavifuta usajili wa vyama vya kijamii 1,268
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isack Nantanga.(Picha na Maktaba).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Wizara ya Mambo ya Ndani imetangaza kufuta usajili wa vyama 1,208 vya kijamii kati ya vyama 12,665 ambavyo vimesajiliwa katika daftari la msajili wa vyama katika Wizara hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Isaac Nantanga amesema sababu ya kuvifuta vyama hivyo ni kushindwa kufata masharti ya usajili, kushindwa kulipa ada za mwaka na kuwasilisha...
9 years ago
Habarileo19 Aug
Wanawake wajifunza mbinu mpya za kilimo Kisarawe
WANAWAKE katika kijiji cha Kisanga wilayani Kisarawe wamejifunza mbinu mpya za kilimo na uzalishaji mali kupitia kampeni ya ‘GROW’ inayoendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la Oxfam katika shindano lake la Mama Shujaa wa Chakula 2015.