Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bodaboda 268 wajifunza

Waendesha bodaboda 268 wa Mkoa wa Manyara wamepatiwa leseni na mafunzo ya kufuata sheria za usalama barabarani kwa lengo la kuwaepusha na usumbufu wa kukamatwa mara kwa mara pamoja na ajali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Vyama 1,268 vyafutwa

msemajiJohanes Respichius na Elizabeth Nyambele, Dar es Salaam

SERIKALI imevifuta vyama vya kijamii 1,268 katika daftari la msajili wa vyama kwa kushindwa kutimiza masharti ya usajili wake.

Taarifa ya kufutwa kwa vyama hivyo ilitolewa jana na msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Issac Nantanga, mbele ya waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo.

Alisema kazi ya kuhakiki vyama hivyo ina lengo la kufuta vyama vyote vilivyoshindwa kutekeleza masharti ya sheria ya vyama (Sura ya 337)...

 

10 years ago

Vijimambo

Sh. bilioni 268 kutumika Uchaguzi Mkuu mwaka huu

Zaidi ya Sh. bilioni 268 zinatarajiwa kutumikia katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu utakaowapa fursa Watanzania kuchagua madiwani, wabunge na Rais ajae.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, aliyasema hayo jana wakati akiahirisha Bunge mjini Dodoma na kuongeza kuwa maandalizi ya uchaguzi huo yanaenda vizuri.
Alisema vifaa mbalimbali kwa ajili kuufanikisha uchaguzi huo tayari vimeanza kununuliwa.

Pinda alisema kuwa miongoni mwa maandalizi ya uchaguzi huo ni uandikishaji wa daftari la kudumu la...

 

9 years ago

Vijimambo

WAZIMBABWE WAJIFUNZA TUMBAKU TANZANIA

Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano Kampuni ya Tumbaku Tanzania na Kiwanda cha Kusindika Tumbaku (TTPL), Bw.Richard Sinamtwa (Kulia) akifafanua jambo kwa wadau wa tumbaku kutoka Zimbabwe walipotembelea kiwanda hicho kwa ziara ya mafunzo Mjini  Morogoro.Meneja Uhusiano wa Kiwanda cha Kusindika Tumbaku (TTPL), Bw. Mazehiew Folleto (Kulia) akifafanua jambo kwa wadau wa tumbaku kutoka Zimbabwe walipotembelea kiwanda hicho kwa ziara ya mafunzo Mjini  Morogoro.
Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano Kampuni...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YAFUTA VYAMA VYA KIJAMII 1,268

 Msemaji wa Wizara Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaac Nantanga akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya ufutaji wa vyama vya kijamii vilivyoshindwa kuendesha pamoja na kushindwa kulipa ada, kushoto ni Mwanasheria wa wizara hiyo, Berious Nyasembwa.Waandishi wa habari wakifatilia taarifa ya Msemaji wa Wizara Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaac Nantanga leo jijini Dar es Salaam.Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

Na Zainabu Hamisi, Globu ya Jamii.WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imefuta vyama...

 

10 years ago

Michuzi

JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA

 Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...

 

10 years ago

Habarileo

Madiwani Kyela wajifunza usafi Kibaha

MADIWANI wa Halmashauri ya Kyela mkoani Mbeya wamefanya ziara ya mafunzo kwa kutembelea Halmashauri ya Mji Kibaha kujifunza uboreshaji na usafi wa mazingira.

 

9 years ago

Michuzi

WAZIMBABWE WAJIFUNZA TUMBAKU HAPA NCHINI

Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano Kampuni ya Tumbaku Tanzania na Kiwanda cha Kusindika Tumbaku (TTPL), Bw.Richard Sinamtwa (Kulia) akifafanua jambo kwa wadau wa tumbaku kutoka Zimbabwe walipotembelea kiwanda hicho kwa ziara ya mafunzo Mjini  Morogoro.Meneja Uhusiano wa Kiwanda cha Kusindika Tumbaku (TTPL), Bw. Mazehiew Folleto (Kulia) akifafanua jambo kwa wadau wa tumbaku kutoka Zimbabwe walipotembelea kiwanda hicho kwa ziara ya mafunzo Mjini  Morogoro.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Dewji Blog

#HapaKaziTu! Wizara ya Mambo ya Ndani yavifuta usajili wa vyama vya kijamii 1,268

Pix-059

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isack Nantanga.(Picha na Maktaba).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Wizara ya Mambo ya Ndani imetangaza kufuta usajili wa vyama 1,208 vya kijamii kati ya vyama 12,665 ambavyo vimesajiliwa katika daftari la msajili wa vyama katika Wizara hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Isaac Nantanga amesema sababu ya kuvifuta vyama hivyo ni kushindwa kufata masharti ya usajili, kushindwa kulipa ada za mwaka na kuwasilisha...

 

9 years ago

Habarileo

Wanawake wajifunza mbinu mpya za kilimo Kisarawe

WANAWAKE katika kijiji cha Kisanga wilayani Kisarawe wamejifunza mbinu mpya za kilimo na uzalishaji mali kupitia kampeni ya ‘GROW’ inayoendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la Oxfam katika shindano lake la Mama Shujaa wa Chakula 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani