Simu, mitandao vimeua stadi za uandishi nchini
nchini. Shindano hilo huratibiwa kila mwaka na Umoja wa Watanzania waliosoma Japan (Jata) chini ya udhamini wa Shirika la Maendeleo la Japani(Jica).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
JAMAA ANUSA KIFO, WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Jeshi laonya matumizi mabaya ya simu za mikononi na mitandao ya kijamii
Msemaji wa Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ), Luteni Kanali Erick Komba.
Na Mwandishi wetu.
Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) limetoa onyo kwa vijana na watanzania kwa ujumla kutokana na matumizi mabaya ya simu za mikononi na mitandao ya kijamii, hasa kwa taarifa zinazohusu Jeshi.
Hatua hiyo imekuja baada ya mtu/watu wasiojulikana kusambaza taarifa za uongo kuhusu vijana kwa mujibu wa sheria wanaoendelea na mafunzo katika makambi mbalimbali ya JKT wanakufa kwa ukatili.
Akikanusha taarifa hizo...
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Kampeni ya 2 Get Noted kujumuisha simu, mitandao ya kijamii na matangazo ya nje
Kwa kawaida matangazo ya nje vya habari huwa na muingiliano wenye kushika hatamu, kuunganisha, matokeo mazuri na ushawishi mkubwa. Hali kadhalika, matangazo ya nje yanapojumuishwa na teknolijia ya kidigitali, mitandao ya kijamii na simu za kiganjani hufanikisha wepesi wa maudhui kufikia wahusika wanapokuwa mbali na makazi yao kwa kuwa njia nyingine sio mbadala kufika huko. Samsung Electronics Tanzania ikishirikiana na Continental Outdoor Media Ltd wameanzisha kampeni madhubuti inayohusisha...
5 years ago
MichuziMABULA ATAKA MALIPO YA KODI YA PANGO LA ARDHI KWA MITANDAO YA SIMU KUEPUKA CORONA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kilipia kodi ya pango la ardhi kufanya hivyo kupitia mitandao ya simu za viganjani ili kuepuka misongamano inayoweza kuchangia maambukizi ya virusi vya Corona.
Dkt Mabula alitoa tahadhari hiyo juzi wilayani Bariadi mkoani Simiyu alipozungumza na Wakurugenzi na Watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za mkoa wa Simiyu akiwa katika ziara ya...
10 years ago
Bongo524 Feb
Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu
5 years ago
Michuzi
Zantel yazindua BongaMpakaBasi kuwawezesha wateja kupiga simu mitandao yote kwa gharama nafuu
Huduma hiyo, itawafanya wateja wa Zantel kupiga simu kwenda mitandao mingine kwa gharama ileile ya kupiga ndani ya mtandao kupitia kifurushi kimoja cha ‘BongaMpakaBasi’.Bidhaa hiyo inatajwa kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii hapa nchini.
Akizungumza wakati wa uzinduzi...
11 years ago
GPL
BOL MKOMBOZI WA WATUMIAJI WA SIMU NCHINI HAPA NCHINI
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Uandishi usio uandishi wa habari
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Uzushi mitandao ya kijamiii nchini wamkera Edward Lowassa