Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milioni 270 wahusika ajali za kemikali

INAKADIRIWA kuwa watu milioni 270 wanahusika na ajali za kemikali maeneo ya kazi, huku milioni 160 wanasumbuliwa na magonjwa yatokanayo na athari za kemikali kila mwaka kati ya watu bilioni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa Zambia wahusika na ajali

Wachezaji wa timu ya taifa ya Zambia waliohusika katika ajali ya barabrani Jumapili, wanasemekana kuwa katika hali nzuri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uganda Cranes wahusika kwenye ajali

Basi lililokuwa limebeba wachezaji wa timu ya taifa ya Uganda limehusika kwenye ajali ya barabarani wakirejea Kampala baada ya kukutana na Rais Yoweri Museveni.

 

10 years ago

Habarileo

Programu ya kuzuia ajali za kemikali

OFISI ya Wakala wa Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imezindua rasmi programu ya kuzuia na kupambana na ajali zitokanazo na kemikali, ambayo inatarajiwa kupunguza tatizo hilo hasa kutokana na ajali hizo kuongezeka. Mpango huo ambao umezinduliwa jijini Dar es Salaam unalenga kuangalia jinsi, ajali hizo zitakavyodhibitiwa kwa kuwa katika baadhi ya ajali za kemikali zilizotokea zimesababisha madhara makubwa.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali za kemikali zaua watu 14

WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umesema mwaka jana kumetokea matukio ya ajali za kemikali 11 zilizosababisha vifo vya watu zaidi ya 14 na uharibifu wa tani zaidi ya 250 za kemikali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali zaua watu milioni sita

WATU milioni sita wanakadiriwa kufa na wengine milioni 20 hadi 50 hujeruhiwa kwa ajali za barabarani kila mwaka. Takwimu hizo zimebainishwa jana na daktari bingwa wa mifupa wa Taasisi  ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watu milioni 337 hupata ajali kazini

UTAFITI wa Shirika la Kazi Duniani unasema jumla ya watu  milioni 337 duniani hupata ajali kila mwaka katika maeneo ya kazi na kati ya hao, milioni 2.3 hufariki dunia. Makamu...

 

11 years ago

Michuzi

Jaji adai fidia ya milioni 300/= kwa ajali ya uzembe wa dereva

Jaji wa Mahakama Kuu, Grace Mwakipesile amefungua kesi ya madai ya kulipwa fidia ya Sh milioni 300 kutokana na majeraha na maumivu aliyoyapata katika ajali aliyoipata mkoani Shinyanga.
Amefungua kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya dereva Kamota Hassan, Michael Mosha na kampuni ya bima ya Zanzibar. Kesi hiyo itatajwa Agosti 4 mwaka huu mbele ya Hakimu Mkazi Hellen Riwa.
Katika hati ya madai, Jaji Grace anaiomba mahakama iamuru walalamikiwa hao wamlipe fedha hizo kutokana...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Wanafunzi 270 kupimwa afya

ZAIDI ya wanafunzi 270 wa Shule ya Msingi Viziwi Buguruni, jijini Dar es Salaam, wanatarajiwa kupima afya zao na kupatiwa matibabu.

Akizungumza na gazeti hili jana, jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kuhudumia Viziwi Tanzania (TSD), Yasin Mawe, alisema wanafunzi hao watapimwa damu, mkojo, uzito na urefu.

"Tumeamua kuwapima afya ili kupata kumbukumbu sahihi na kufahamu maradhi yanayowasumbua ili kuwapatia dawa," alisema.

Alisema TSD kwa kushirikiana na wahisani...

 

10 years ago

Vijimambo

TAHADHARI KWA WAHUSIKA


Kampuni ya Dodsal Group Dubai

Tahadhari kwa Wataalam wote

Tahadhari kwa wafanyakazi wote

Tahadhari kwa Mr. Rajen Kilachand, Mwenyekiti wa Dodsal Group Dubai

Tahadhari kwa Dr. Jogendra Nath Sahu; Dodsal Group Dar es Salaam

Kampuni ya Milembe Co. Ltd

Kwa yeyote anayejijua anahusika moja kwa moja au kusaidia.


Jina langu ni Askofu Charles Gadi, Mtumishi wa Mungu aliye Hai.


Kwa maovu yenu, natangaza kuwa ninyi wenyewe mmenifanya Mungu wenu na kwamba uovu wenu huu mlioufanya kwenye shamba langu sitahitaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani