Miradi iliyotekelezwa kwa ajili ya kupunguza msongamano katika halmashauri ya ilala
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ci0mMjUdPVs/VCFihGL4Y9I/AAAAAAAGlVA/JbSSebrh-5c/s72-c/unnamed.jpg)
Afisa Uhusiano wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Bi Tabu Shaibu akiwaeleza waandishi wa Habari (Hawapo pichani) waandishi wa Habari kuhusu Miradi iliyotekelezwa kwa ajili ya kupunguza msongamano katika halmashauri hiyo, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Bw. Frank Mvungi.
Mhandisi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Bw. Batimagwa James akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu hatua zinazochukuliwa na Manispaa hiyo katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI MAGUFULI AZINDUA MIRADI SITA YA UJENZI WA BARABARA ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO KATIKA JIJI LA DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
MichuziJESHI LA MAGEREZA NCHINI KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIRAIA KATIKA KUPUNGUZA MSONGAMANO MAGEREZANI
Na, Lucas Mboje, MorogoroJeshi la Magereza nchini limeahidi kuendelea kushirikiana na Asasi ya Envirocare katika kuimarisha Madawati ya Msaada wa Kisheria Magerezani ili kuleta tija katika utatuzi wa changamoto ya Msongamano wa Mahabusu inayolikabili Jeshi hilo.
Kauli hiyo imetolewa jana Mkoani Morogoro na Kamishna...
9 years ago
VijimamboESHI LA MAGEREZA NCHINI KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIRAIA KATIKA KUPUNGUZA MSONGAMANO MAGEREZANI
Na, Lucas Mboje, Morogoro
Jeshi la Magereza nchini limeahidi kuendelea kushirikiana na Asasi ya Envirocare katika kuimarisha Madawati ya Msaada wa Kisheria Magerezani ili kuleta tija katika utatuzi wa changamoto ya Msongamano wa Mahabusu inayolikabili Jeshi hilo.
Kauli hiyo imetolewa jana Mkoani Morogoro na Kamishna...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xv_-dO3pgLU/VMEKeZpu12I/AAAAAAAG-9M/ZfJESX3aNBE/s72-c/IMG-20150122-WA007.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA KILIMO, MAJI NA MIFUGO YARIDHISHWA NA MIRADI YA MAJI ILIYOTEKELEZWA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xv_-dO3pgLU/VMEKeZpu12I/AAAAAAAG-9M/ZfJESX3aNBE/s1600/IMG-20150122-WA007.jpg)
Kamati ya Maji, Mifugo na Uvuvi imeridhishwa na miradi mbalimbali ya Maji iliyotekelezwa kwa kipindi cha miaka 10 ya kuwapatia wananchi huduma ya Majisafi na kupunguza tatizo la uhaba wa Maji hapa nchini.
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Maji Mh. Selemani Kakoso Wakati wa ziara ya kamati katika kuangalia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_C7AD3248k8/VCxLoXhY1mI/AAAAAAAGnJE/-Xs_GJdXdKE/s72-c/0L7C2170.jpg)
JK ataja hatua saba za kupunguza msongamano wa magari Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-_C7AD3248k8/VCxLoXhY1mI/AAAAAAAGnJE/-Xs_GJdXdKE/s1600/0L7C2170.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Qhf4yxOHhA/VCI_XtC3i6I/AAAAAAACrh0/ax0Mkz1a2cc/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAANZA MAFUNZO KWA WATAALAMU WA KISEKTA KWA AJILI YA UIBUAJI MIRADI KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI
Akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wataalamu hao mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bwana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uSctyKRT4TXDeLpvKNWGp0Gh42MGxtpSbUFII5XqwV0EPIDeg3gS1QXgOWrgviNS6vOE1pn34UXQa14bZdQAqXoeE/ujenzi.jpg?width=650)
UJENZI WA MABWENI SHULE ZA PEMBEZONI KUPUNGUZA MSONGAMANO WA WANAFUNZI MIJINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rzSLqinIQM4/VMd7Dgqgh2I/AAAAAAACyqc/Amzec61bGy4/s72-c/John-Magufuli.jpg)
Trilioni Moja kutumika kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rzSLqinIQM4/VMd7Dgqgh2I/AAAAAAACyqc/Amzec61bGy4/s1600/John-Magufuli.jpg)
SERIKALI imedhamiria kupunguza msongamano wa magari ndani ya jiji la Dar es Salaam kwakujenga barabara sita zitakazo ambazo ujenzi wake utasimamiwa na TANROADS. Ujenzi huo unatarajiwa kugharimu sh. trilioni moja ambapo lengo barabara hizo ni kupunguza adha ya msongamano wa magari katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es saalam.
Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akiweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JIYs43_D7QM/UvKC1HRnD8I/AAAAAAAFLDA/YdukefPihjk/s72-c/Picha+3.jpg)
BARABARA ZAIDI ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KUENDELEA KUJENGWA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-JIYs43_D7QM/UvKC1HRnD8I/AAAAAAAFLDA/YdukefPihjk/s1600/Picha+3.jpg)