Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miraji: Mnaotatizwa na vyama vyenu njooni ADC

“BAADA ya kuona Watanzania wanachanganywa na vyama walivyokuwemo, mimi na wenzangu tumeona ni vyema tukaanzisha chama mbadala ADC ili kuwapa nafasi wanachama na viongozi wasio na mwelekeo katika vyama hivyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO MKUU ADC WAMPITISHA, CHIEF LUTASOLA YEMBA KUWA MGOMBEA URAIS TANZANIA BARA, SAID MIRAJI ABDULLAH MGOMBEA MWENZA

 Mgombea urais wa chama cha ADC,  Zanzibar, Hamad Rashid Hamad, akihutubia katika mkutano huo. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bara kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chief Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha mgombea mwenza wake, Said Miraji (kulia), katika mkutano mkuu wa tatu wa chama hicho uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar, Hamad Rashid Hamad.
 Makamu Mwenyekiti wa ADC, Zanzibar, Faki Hamisi Silima,...

 

10 years ago

Mwananchi

Ilani ya vyama vya ADC, ACT sasa hadharani

Wakati joto la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu likiendelea kupanda, vyama viwili vya ACT-Wazalendo na ADC ndivyo vilivyokamilisha ilani zake na kutangaza kwa umma, huku viongozi wa vyama vingine wakitangaza kukamilisha kazi hiyo kabla ya kuanza kampeni.

 

9 years ago

Michuzi

ZINGATIENI VIAPO VYENU – ANGELA KAIRUKI.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki (Mb) akisalimiana na watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma alipoitembelea ofisi hiyo mapema leo jijini Dar es Salaam.  Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Salome S.Kaganda (kushoto)  akizungumza na 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki alipotembelea ofisi hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Lyanga atua Simba, Miraji aondoka

Wakati mshambuliaji Daniel Lyanga akitua rasmi Simba kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili mdogo, beki wa pembeni wa klabu hiyo, Miraji Adam ameondoka na atajiunga na Coastal Union ya Tanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi Moro: Yanga acheni visingizio vyenu

 Polisi Morogoro kupitia kwa kocha wao msaidizi, John Tamba imeibeza Yanga inayocheza nayo kesho kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara, kuwa waache visingizio kwa kusema Uwanja wa Jamhuri Morogoro ni mbaya.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Mzee Mwinyi, Mkapa, Dk Mengi, Dewji, tunasubiri vitabu vyenu

Vitabu vina uhondo. Wasiosoma wanakosa mengi. Kwa wenzetu wanaojua nafasi ya vitabu na machapisho mengine, sekta ya vitabu ina mafanikio makubwa kijamii na kiuchumi.

 

9 years ago

Vijimambo

Mbowe: Njooni Jangwani kesho



Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefuta mzizi wa fitina kuhusiana na tishio la kuzuiwa kufanya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kesho kwa kuwataka wajitokeze siyo kwa maelfu bali kwa mamilioni.

Akizungumza katika kongamano la kina mama lililoandaliwa na Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) jijini Dar es Salaam jana, Mbowe alisema mgombea wao, Edward Lowassa na mgombea mwenza, Juma Dunia Haji, watahutubia mkutano...

 

11 years ago

Mwananchi

Sumaye: Njooni muwekeze nyumbani

Uingereza.Waziri mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amesema Tanzania inazo fursa nyingi za uwekezaji, mazingira yanayovutia, uchumi imara na sera nzuri na kuwataka Watanzania

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani