Miujiza ya Mungu
Wachimbaji wa watano wa madini kati ya sita waliodhaniwa kuwa wamekufa baada ya kufukiwa na kifusi Oktoba 5 katika machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama, Shinyanga wameokolewa juzi wakiwa hai baada ya kuishi chini ya ardhi kwa siku 41.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tBTKCkFUMvPfPWQ8AxncILMsIk5bHcPuXwSmYiKiFf3h8d-JYt4u4Bjl9KOIAanS8sZzmvfRo0DFrTBhFLypgHwFbsCwo*xa/BACKAMANI.jpg)
MAAJABU YA MTOTO WA MIUJIZA
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Miujiza ya wajumbe wa Bunge la Katiba
MOJA ya methali walizotuachia wahenga yasema “sitaki haiwi nongwa ikachongea na watu.” Nongwa ni hali ya kuwa na mfundo moyoni au hali ya kumchoka mtu kutokana na maneno yake mengi....
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Nasubiri miujiza ya mtandao 2015
AJENDA ya uteuzi wa jina la mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu ujao mwakani inatishia kukisambaratisha chama hicho na kusababisha anguko kwenye uchaguzi huo. Tishio...
11 years ago
Habarileo18 Jul
‘Hakuna miujiza katika kuboresha elimu’
KAMISHNA wa Elimu kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Eustella Bhalalusesa amesema hakuna miujiza katika kuboresha elimu nchini, ikiwa walimu nchini hawajatayarishwa kutoa elimu bora na kujengewa misingi ya kupenda kazi yao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QjsMz_ceuf8/Xt5I7W705FI/AAAAAAALtFc/-BLrEG6Ykk4fULyVvw_keJ8Rf5YntpsowCLcBGAsYHQ/s72-c/AE9A1334-768x512.jpg)
MRADI WA MAJI LONGIDO NI MIUJIZA-DK.MHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QjsMz_ceuf8/Xt5I7W705FI/AAAAAAALtFc/-BLrEG6Ykk4fULyVvw_keJ8Rf5YntpsowCLcBGAsYHQ/s640/AE9A1334-768x512.jpg)
………………………………………………………………………………
“Tangu Longido kuwa Wilaya mwaka 2007 haijawahi kuwa na huduma maji yanayotiririka kwenye nyumba za watu, yamekuwepo maji ya visima miaka yote, nampongeza Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli alitupatia fedha kiasi cha shilingi bilioni 15. 89 ambazo zimetekeleza mradi maarufu unaoitwa mto Simba, ambapo maji...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mbeya waandaliwa tamasha la ishara, miujiza
SHIRIKA la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden, kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Mkoa wa Mbeya, wameandaa tamasha la ishara na miujiza litakalofanyika kwenye Viwanja vya...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Ng’wanamalundi; Mtu wa miujiza aliyeutesa utawala wa Wajerumani (2)
9 years ago
StarTV07 Nov
 Kocha mpya wa Aston Villa Asema hana miujiza ahitaji mshikamano.
Siku moja baada ya klabu ya Aston Villa ya England kumtambulisha kocha mpya Remi Garde kuchukua nafasi ya kocha Tim Sherwood aliyetimuliwa wiki mbili zilizopita, kocha huyo amesema kuwa hana miujiza na anachohitaji ni uvumilivu na mshikamano ndani ya timu.
Kocha Garde raia wa Ufaransa amebainisha kuwa ana kabiliwa na changamoto kubwa zaidi ya kuweka mambo sawa na itachukua muda kwa timu hiyo kurudi katika mstari kutokana na matokeo mabaya yanayowazunguka ikiwa na pointi 4 tu katika...