Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miujiza ya Mungu

Wachimbaji wa watano wa madini kati ya sita waliodhaniwa kuwa wamekufa baada ya kufukiwa na kifusi Oktoba 5 katika machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama, Shinyanga wameokolewa juzi wakiwa hai baada ya kuishi chini ya ardhi kwa siku 41.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

10 years ago

GPL

MAAJABU YA MTOTO WA MIUJIZA

Stori: Richard Bukos
MTOTO Happiness (10) (pichani) ambaye mwishoni mwa wiki iliyopita  alizua kizazaa mjini Zanzibar baada ya kuonekana akizungumza na viumbe wa ajabu na wanyama, ametua jijini Dar kufuatia kufika kisiwani humo kimaajabu. Mtoto Happiness (10) anayedaiwa kuzua kizazaa mjini Zanzibar. Kwa mujibu wa mama mzazi wa mtoto huyo, Sarah Zefania, mwanaye Happiness alianza kuonesha maajabu Zenji tangu alipoonekana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miujiza ya wajumbe wa Bunge la Katiba

MOJA ya methali walizotuachia wahenga yasema “sitaki haiwi nongwa ikachongea na watu.” Nongwa ni hali ya kuwa na mfundo moyoni au hali ya kumchoka mtu kutokana na maneno yake mengi....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nasubiri miujiza ya mtandao 2015

AJENDA ya uteuzi wa jina la mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu ujao mwakani inatishia kukisambaratisha chama hicho na kusababisha anguko kwenye uchaguzi huo. Tishio...

 

11 years ago

Habarileo

‘Hakuna miujiza katika kuboresha elimu’

Profesa Eustella BhalalusesaKAMISHNA wa Elimu kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Eustella Bhalalusesa amesema hakuna miujiza katika kuboresha elimu nchini, ikiwa walimu nchini hawajatayarishwa kutoa elimu bora na kujengewa misingi ya kupenda kazi yao.

 

5 years ago

Michuzi

MRADI WA MAJI LONGIDO NI MIUJIZA-DK.MHINA


Tanki la maji lililopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido, ambalo linakusanya maji kutoka Mto Simba uliopo wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro.

………………………………………………………………………………

“Tangu Longido kuwa Wilaya mwaka 2007 haijawahi kuwa na huduma maji yanayotiririka kwenye nyumba za watu, yamekuwepo maji ya visima miaka yote, nampongeza Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli alitupatia fedha kiasi cha shilingi bilioni 15. 89 ambazo zimetekeleza mradi maarufu unaoitwa mto Simba, ambapo maji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya waandaliwa tamasha la ishara, miujiza

SHIRIKA la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden, kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Mkoa wa Mbeya, wameandaa tamasha la ishara na miujiza litakalofanyika kwenye Viwanja vya...

 

11 years ago

Mwananchi

Ng’wanamalundi; Mtu wa miujiza aliyeutesa utawala wa Wajerumani (2)

Wiki iliyopita tuliona jinsi Ng’wanamalundi alivyokuwa katika harakati za kusaka umaarufu wa kucheza ngoma anakutana na Bibi Kizee ambaye anampa uwezo wa kufanya maajabu. Anakutana na Mtemi Chilya na kuanza kuonyesha uwezo wake wa kufanya maajabu. Sasa endelea…

 

9 years ago

StarTV

  Kocha mpya wa Aston Villa  Asema hana miujiza ahitaji mshikamano.

 

Siku moja baada ya klabu ya Aston Villa ya England kumtambulisha kocha mpya Remi Garde kuchukua nafasi ya kocha Tim Sherwood aliyetimuliwa wiki mbili zilizopita, kocha huyo amesema kuwa hana miujiza na anachohitaji ni uvumilivu na mshikamano ndani ya timu.

Kocha Garde raia wa Ufaransa amebainisha kuwa ana kabiliwa na changamoto kubwa zaidi ya kuweka mambo sawa na itachukua muda  kwa timu hiyo kurudi katika mstari kutokana na matokeo mabaya yanayowazunguka ikiwa na pointi 4 tu katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani