‘Hakuna miujiza katika kuboresha elimu’
KAMISHNA wa Elimu kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Eustella Bhalalusesa amesema hakuna miujiza katika kuboresha elimu nchini, ikiwa walimu nchini hawajatayarishwa kutoa elimu bora na kujengewa misingi ya kupenda kazi yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3DaUejesC5M/VGYeGmSZ4dI/AAAAAAAGxOQ/VPqsFsyGQcU/s72-c/TIC%2BADVERT%2BSWAHILI%2BVERSION.jpg)
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kampeni za elimu bure zitasaidia kuboresha elimu yetu?
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
VETA YASHIRIKI MAONESHO YA ELIMU YA UFUNDI KATIKA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA WATAALAM WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA UNAOFANYIKA KATIKA OFISI ZA UMOJA WA AFRIKA JIJINI ADDIS ABABA, ETHIOPIA TAREHE 27 HADI 31 OKTOBA,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4PkxV6XZZaQ/VjICoBJ-4pI/AAAAAAAIDWM/bImrWxjTvWs/s640/New%2BPicture%2B%25282%2529.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IFgLUv0c7to/VjIColnyljI/AAAAAAAIDWI/iAkTWoQ-mGU/s640/New%2BPicture.png)
9 years ago
Mtanzania03 Oct
Dk. Shein aahidi kuboresha elimu Pemba
Na Esther Mbussi, Zanzibar
MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohamed Shein, ameahidi kutoa kompyuta na kuongeza idadi ya walimu wa masomo ya sayansi katika shule za sekondari Kusini Unguja.
Akizungumza katika mkutano wa kampeni eneo la Paje, Kusini Unguja Dk. Shein alisema kuongeza idadi ya walimu wa masomo ya sayansi kutasaidia kuongeza ufaulu wa masomo hayo.
“Serikali itaboresha sekta ya elimu kwa kujenga shule na tayari tunamalizia shule 22 tulizoanza...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Nini kifanyike kuboresha elimu nchini?
ELIMU ni njia inayotumiwa na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine. Walimu katika taasisi za elimu huratibisha elimu ya wanafunzi wao kupitia masomo ya...
10 years ago
Habarileo01 Jun
Bilal: Serikali itaendelea kuboresha elimu nchini
SERIKALI imesema kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu, itaendelea kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia ili kutoa elimu bora na inayowatayarisha watanzania kujiajiri na kuajiriwa katika sekta ya umma na sekta binafsi.
11 years ago
Habarileo26 May
Nalopa wazungumzia sekta binafsi kuboresha elimu
SERIKALI imeombwa kushirikisha sekta binafsi katika uandaaji wa mitaala ya kitaaluma na usahihishaji wa mitihani kwa shule za msingi, sekondari na vyuo kuboresha mitaala hiyo na kuinua kiwango cha elimu.
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kata ya Ilala yataja mikakati kuboresha elimu
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Kibarua cha kuboresha elimu kwa Serikali ya Dk Magufuli