Nasubiri miujiza ya mtandao 2015
AJENDA ya uteuzi wa jina la mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu ujao mwakani inatishia kukisambaratisha chama hicho na kusababisha anguko kwenye uchaguzi huo. Tishio...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Vijimambo14 Oct
Nyalandu: Nasubiri kuombwa kuwania urais 2015

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema hawezi kutangaza kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao bila kutumwa na watu.
Nyalandu amesema kuwa wadhifa wa kuongoza nchi ni mkubwa mno, ambao mtu hawezi kujichukulia uamuzi wa kuiomba nafasi hiyo isipokuwa mpaka atumwe na watu, huku akisema kuwa ingawa hana mpango wa kugombea urais, lakini hata yeye akitumwa anaweza kugombea.
Nyalandu aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wake na wandishi...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
.jpg)
10 years ago
Michuzi
MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)
Wizara ya Nishati na Madini inaendelea na mpango wake wa Mafunzo kwa Wachimbaji Madini Nchini kuhusu matumizi ya Mfumo wa Huduma za Leseni kwa njia ya Mtandao yaani Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa njia za kielektroniki. Mafunzo hayo yanatarajiwa kutolewa kwa wachimbaji wadogo nchi nzima ili kuwajengea uwezo.

10 years ago
Ykileo
UCHAMBUZI WA SHERIA ZA MAKOSA MTANDAO, 2015

Nitaanza na...
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Ykileo
UHALIFU MTANDAO KUELEKEA UCHAGUZI 2015

Aidha, Jitihada kama vile kupatikana kwa sharia mtandao, kupatikana kwa...
10 years ago
GPL
UCHAMBUZI WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, 2015
UTANGULIZI
Sheria hii ya Makosa ya Jinai kupitia Mtandao, 2015 ina mapungufu mengi. Mapungufu hayo yamebainika kuwa, kama sheria ikipita yanaweza kuifanya nchi ikawa ni kati nchi adui za matumizi ya mtandao wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano duniani. Watanzania wote wanatakiwa kufahamu kuwa muswada ukipita utatumika nchini kote yani Tanzania Bara na Visiwani. Watanzania walio wengi hawafahamu Sheria hii inawahusu kwa...
10 years ago
Michuzi03 Sep
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Miujiza ya Mungu
Wachimbaji wa watano wa madini kati ya sita waliodhaniwa kuwa wamekufa baada ya kufukiwa na kifusi Oktoba 5 katika machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama, Shinyanga wameokolewa juzi wakiwa hai baada ya kuishi chini ya ardhi kwa siku 41.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10