Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjadala wa Katiba ulenge masilahi ya nchi

Kuwasilishwa kwa rasimu ya pili ya Katiba Mpya kwa marais Jakaya Kikwete wa Jamhuri ya Muungano na Dk Ali Mohamed Shein wa Zanzibar, ni hatua muhimu katika mchakato wa kuandika upya sheria hiyo mama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uraia pacha, masilahi binafsi dhidi ya masilahi ya Taifa

Wanaoendelea kudai uraia pacha, ama hawajasoma Rasimu au wana lao jambo.Salamu zangu kwenu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, naendelea kuwapa moyo kwamba kazi mnayoifanya ni yetu na ninyi miongoni mwetu mmeonekana wenye sifa na vigezo vya kuitenda kazi hiyo ipasavyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la katiba wekeni masilahi ya Taifa mbele

Taifa la Tanzania liko katika mchakato wa kupata katiba mpya. Suala hili ni jema na ni la msingi sana kwa maendeleo, ushauri wangu ni kwamba wasitokee watu ambao watafanya mambo kwa masilahi yao au kikundi cha watu.

 

11 years ago

Mwananchi

Pengo akemea masilahi binafsi Bunge la Katiba

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinal Pengo amesema shughuli za mchakato wa Katiba zifanyike kwa amani na kwamba ziwalinde Watanzania katika umoja na mshikamano waliyokuwa nao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MJADALA WA KATIBA MPYA: Asasi za kiraia kuelimisha jamii kwa kugawa CD, flash za Katiba

BAADA ya Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar na hatimaye Tanzania iliyotokana na muungano wa nchi hizo mwaka 1964, wananchi hawakuwahi kupewa fursa ya kushiriki katika utungaji wa Katiba ya nchi....

 

10 years ago

Dewji Blog

Bunge Maalum la Katiba laendelea na mjadala wa Rasimu ya Katiba

PIX 1

Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiingia ndani ya Bunge hilo leo 10 Septemba, 2014 kwa ajili ya kuendelea na mjadala wa Rasimu ya Katiba.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 10 Septemba, 2014 limeendelea na kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali Bungeni mjini Dodoma.

Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja masuala ya migogoro ya ardhi inayowahusisha wafugaji na wakulima, mambo ya Uraia pacha, haki ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mjadala IPTL wateka kila kona ya nchi

Maeneo ya migahawa, baa na vijiwe vya kuuza kahawa, katika mji wa Geita vilifurika watu na baadhi ya shughuli zikiwamo za kuchomelea vyuma na vibanda kusimama baada ya wananchi kufurika kwenye runinga kufuatilia mjadala juu ya kashfa ya IPTL uliokuwa ukiendelea bungeni mjini Dodoma.

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Mjadala Bunge la Katiba ni mwafaka

Rais Jakaya Kikwete amesema hana wasiwasi na hali ya mjadala mkali uliotawala Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu ni muhimu kwa mjadala kuhusu Katiba Mpya ukawa wa kina ili kuweza kupata Katiba bora kwa Watanzania.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja atetea mjadala wa Katiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, William Ngeleja, amesema mjadala wa katiba mpya ni mjadala wenye tija kwa taifa na watanzania kwa ujumla. Ngeleja ambaye pia ni Mbunge wa Sengerema,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mjadala Bunge zima la Katiba waanza

Kamati za Bunge la Katiba zitawasilisha sura moja baada ya nyingine kwenye Bunge zima kuanzia leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani