Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjapani afungwa mwaka mmoja

RAIA wa Japan, Chichiro Matsumoto (37) amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa Sh 500,000 baada ya kukutwa akisafirisha madini bila leseni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA

ELIMU
Dada nakukubali sana, vipi kuhusu kiwango chako cha elimu? Fura, Hedaru, 0714403227
FLORA: Nina elimu ya kidato cha sita na Diploma ya Uandishi wa habari. Msanii wa Bongo Muvi na muziki Bongo, Flora Mvungi akiwa na mwanaye Tanzanite. NDOA NA UIGIZAJI
Hivi dada Flora unawezaje kuitumikia ndoa yako kikamilifu huku ukijishughulisha na uigizaji? Amiri Salumu, Dar, 0653252416
FLORA: Ni kujipanga tu, yote yanawezekana....

 

10 years ago

GPL

E.FM YAADHIMISHA MWAKA MMOJA

Kushoto ni Mkuu wa Vipindi wa E.fm Dickson Ponela na Mkurugenzi wa Mawasiliano Denis Ssebo wakisikiliza maswali ya waandishi (hawapo pichani).                               Mkurugenzi wa Mawasiliano Denis Ssebo akisisitiza jambo. KITUO cha Redio 93.7 E.fm leo kimezindua sherehe za maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake...

 

10 years ago

Habarileo

Mbowe ahukumiwa mwaka mmoja

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe.MAHAKAMA ya wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, imemtia hatiani na kumhukumu Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja, kutokana na kesi iliyokuwa ikimkabili ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.

 

11 years ago

GPL

MTOTO MWAKA MMOJA ABAKWA

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha USIPOSTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni, ni kweli kabisa! Mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja tunayemtaja kwa jina moja la Devota wa Sokoni One jijini hapa, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru kufuatia kubakwa na njemba moja iitwayo Rajabu Mkoba (30), mkazi wa eneo hilo. Mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja ayetajwa kwa jina moja la Devota wa Sokoni One jijini Arusha akiwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Mwaka mmoja, talaka 1,600 Zanzibar

TAKWIMU za Mahakama ya Kadhi Zanzibar, zimeonesha kuwa zaidi ya talaka 1,600 zimetolewa Zanzibar kati ya 2012 na 2013, huku wanawake wengi wakitelekezwa bila kupatiwa haki zao baada ya kutengana na wenza wao.

 

11 years ago

GPL

Kavumbagu asaini Azam mwaka mmoja

Didier Kavumbagu akiwa na Viongozi wa timu ya Azam Fc. Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
UKISUSA sisi twala! Hivyo ndiyo Azam wanavyoweza kusema baada ya kumsainisha mkataba wa mwaka mmoja mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu. Kavumbagu alimaliza mkataba na Yanga baada ya msimu uliomalizika hivi karibuni na Yanga hawakufanya naye mazungumzo yoyote, hali iliyoonekana kuwa walikuwa wakisita kumpa mkataba mpya.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwaka mmoja wa UTEKELEZAJI WA BRN UNARIDHISHA?

BRN, matarajio ilikuwa ni kufikia asilimia 70 ya ufaulu kwa shule za msingi mwaka 2014, badala yake ilipata asilimia 58 tu. Kwa upande wa sekondari, kiwango kilikuwa kufikia asilimia 60 lakini wanafunzi wakapata asilimia 58.

 

10 years ago

Mwananchi

Mrwanda asaini mwaka mmoja Yanga

Yanga imefanya usajili wa kushtukiza na kuwawahi wapinzani wao Simba baada ya kumsainisha mshambuliaji mkongwe Danny Mrwanda  mkataba wa mwaka mmoja akitokea Polisi Morogoro.

 

11 years ago

GPL

Kisiga alamba mwaka mmoja Simba

Straika wa zamani wa Simba, Shabani Kisiga. Na Ibrahim Mussa
IMEBAINIKA kuwa, Simba imempa mkataba wa mwaka mmoja straika wao wa zamani, Shabani Kisiga.
Chanzo kutoka ndani ya Simba kimeliambia Championi Jumatatu kuwa, mchezaji huyo kwa asilimia 99 tayari ameshasajiliwa na klabu hiyo lakini kinachosubiriwa sasa ni Kamati ya Usajili ya Simba kumalizana naye na hatimaye kutambulishwa. Tayari ameshaanza kujifua na timu hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani