Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkahawa wa Kichina hauruhusu raiya weusi

Mkahawa wa kichina umezua mjadala mkali nchini Kenya baada ya kuweka sheria zinazowazuia wakenya weusi kungia baada ya saa 11 jioni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mgahawa wa Kichina wakiri kuwazuia weusi

Wamiliki wa mgahawa wa kichina uliopo jijini Nairobi nchini Kenya uliofungwa na mamlaka ya eneo hilo amekiri kuwazuia watu weusi

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa kichina waenda Mapumziko kusherehekea mwaka mpya wa kichina

Kiongozi wa Madaktari wa Kichina Dr. Liu Yaping akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi zawadi ya pambo la Ofisi wakati alipofika Ofisini kwa Balozi Vuga Mjini Zanzibar na Timu yake ya Madaktari kuaga wakirejea nyumbani kwa mapumziko ya mwezi mmoja kiusherehekea mwaka mpya wa Kichina.Pembeni kushoto ni mtapta wao Bibi Liu HualianDr. Liu Yaping kiongozi wa Madaktari wa Kichina wanaotoa huduma za Afya Hospitali za Zanzibar kati kati akiwa sambamba na Mtapta wao Bibi...

 

10 years ago

Bongo5

Weusi kuzindua video zao 5 mpya kwenye show ya ‘Funga mwaka la Weusi’ Jumamosi hii Dar

Familia ya Weusi inaendelea kuonesha matunda ya muungano wao, wakiwa wanaendelea na ziara ya show zao za Funga mwaka, wiki hii Weusi wanatarajia kuzindua video zao tano kwa mpigo pale Escape One, jijini Dar es salaam. Msemaji wa kundi hilo Nikki Wa Pili amezitaja video watakazozindua Jumamosi hii November 29, kuwa ni video yake ya […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa katika mkahawa Somalia

Takriban watu 10 wameuawa kufuatia mlipuko mkubwa uliotokea katika hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bomu kwenye mkahawa wa Kabul lauwa wengi

Shambulio la kujitolea mhanga katika mji mkuu wa Afghhanistan, Kabul, umeuwa wageni wengi wa mashirika ya kimataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Liamba:Chombo kinachohudumia raiya Tz

Chombo cha The Goetzen,kingali kinahudumu Tanzania kuwasafirisha abiria licha ya kuhudumu kama manuari ya jeshi katika vita vya pili vya dunia

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yawanasa raiya 25 wa Ukraine

Kitengo cha usalama wa ndani cha Urusi Kimewatia mbaroni raiya 25 kutoka Ukraine kwa uchochezi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raiya 3000 wa Ulaya ni wafuasi wa I.S

Idadi ya raiya kutoka Uropa wanaojiunga na kundi la wapiganaji wa Kiislamu IS nchini Syria na Iraqi ni zadi ya 3000

 

10 years ago

BBCSwahili

UK yaondoa tahadhari dhidi ya raiya wake

Serikali imeondoa tahadhari iliyowekea raiya wake kuingia Kenya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani