Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkapa awapongeza Kikwete, NSSF

RAIS mstaafu Benjamin Mkapa amempongeza Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kusimamia utekelezaji wa ujenzi wa daraja la Kigamboni linalotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MKAPA AMPONGEZA RAIS KIKWETE, NSSF UJENZI DARAJA LA KIGAMBONI

 RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa( katikati) akipokea maelezo kuhusu mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutoka kwa Meneja Miradi wa shirika hilo Muhandisi John Msemo (kulia kwake) alipotembelea ujenzi huo kwa mualiko maalum kutoka NSSF. Muonekano wa Daraja kwa sasa. RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudensia Kabaka (wan ne kulia) pamoja viongozi na maofisa wa Shirika la NSSF wakiongozwa...

 

10 years ago

TheCitizen

Mkapa applauds JK, NSSF on Kigamboni Bridge

Retired President Benjamin Mkapa showered praise on his successor President Jakaya Kikwete and the National Social Security Fund (NSSF) for their financial commitment to undertake the multi-billion Kigamboni Bridge.

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Jakaya Kikwete awapongeza Madaktari bingwa wa Moyo kwa upasuaji

mu1

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kisha kupiga picha ya pamoja na madaktari wa Shirika lisilo la kiserikali la Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya moyo kwa zaidi ya watoto 70 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Freddy Maro).

muh2

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AWAPONGEZA DIAMOND NA IDRIS SULTAN KWA KUILETEA SIFA TANZANIA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha msanii Naseeb Abdul “Diamond” na kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam siku ya Jumanne Desemba 23, 2014 . Kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika, Mshindi wa Big Brother Africa Idris Sultan hakuweza kufika Ikulu kuonana na Rais Kikwete siku hii. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa msanii Nassib Abdul “Diamond” wakati akimuonesha moja ya tuzo kati ya tuzo tano za muziki...

 

5 years ago

Michuzi

Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir atembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, awapongeza wataalamu

Na Mwandishi Maalum – Dar es Salaam .
MUFTI Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir ameitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwapongeza wataalamu wake kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa Watanzania, licha ya kuwapo janga la ugonjwa wa Corona.

Sambamba na hilo, Mufti Zubeir amewajulia hali wagonjwa na kuwaombea dua kwa Mwenyezi Mungu ili hali zao zizidi kuimarika baada ya kufanyiwa matibabu dhidi ya matatizo ya moyo yaliyokuwa yakiwakabili.

Akizungumza na waandishi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete amsifu Mkapa

Rais Jakaya Kikwete, amempongeza Rais mstaafu Benjamin Mkapa, kwa kuchangia historia ya Tanzania kutokana na uamuzi wake wa kuchapisha hotuba alizozitoa katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake .

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli awapa pole Kikwete, Mkapa

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewapa pole Rais Jakaya Kikwete na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa kwa kuwateua watu wasiofaa.

 

9 years ago

Habarileo

Mkapa amsifu Kikwete kwa UDOM

RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa amepongeza jitihada za Rais wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete kwa kutekeleza kwa vitendo dhana iliyokuwepo ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na msanii Nassib Abdul ‘Diamond’ Ikulu, awapongeza yeye na Idris Sultan kwa kuiletea sifa Tanzania

unnamed-11

 

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha msanii Naseeb Abdul “Diamond” na  kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam siku ya Jumanne Desemba 23, 2014 . Kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika, Mshindi wa Big Brother Africa Idris Sultan hakuweza kufika Ikulu kuonana na Rais Kikwete siku hii.

unnamed-41

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa msanii Nassib Abdul “Diamond” wakati akimuonesha moja ya tuzo kati ya  tuzo tano za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani