Mkapa amsifu Kikwete kwa UDOM
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa amepongeza jitihada za Rais wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete kwa kutekeleza kwa vitendo dhana iliyokuwepo ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Rais Kikwete amsifu Mkapa
10 years ago
Habarileo08 Nov
Mkapa kuzindua mfuko wa dhamana wa UDOM
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa leo anatarajiwa kuzindua Mfuko wa Dhamana na Bodi ya wadhamini ya mfuko huo wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
9 years ago
Habarileo17 Sep
Zitto amsifu Kikwete
MGOMBEA ubunge wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amepongeza mafanikio yote ya Rais Jakaya Kikwete, yaliyopatikana katika mkoa wa Kigoma katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake.
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Kinana amsifu Mama Salma Kikwete kuanzisha shule ya WAMA Nakayama
Katibu Mkuu wa CCM, ADULRAHMAN Kinana akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA aliposimama kwa muda akitokea ziara ya Kisiwa cha Mafia kwenda Dar es Salaam. Alimpongeza Mama Salma Kikwete kwa kitendo cha kuanzisha shule hiyo yenye manufaa makubwa kwa watoto ya kike wanaotoka sehemu mbalimbali nchini kwenda kusoma hapo. Pia alitumia furssa hiyo kuwapongeza walimu wa shule hiyo kwa kazi kubwa wanaoifanya kiasi cha kufanikisha wanafunzi kufanya vizuri katika mtihani wa...
9 years ago
AllAfrica.Com24 Aug
Udom to Honour Kikwete
AllAfrica.com
Management and students of University of Dodoma (UDOM) have planned a grand reception to honour President Jakaya Kikwete for his support towards the establishment of the university. UDOM Vice-Chancellor, Prof Idris Kikula, made the revelation at the ...
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Kinana: Mama Anne Kilango Malecela ni Katapilla la Same Mashariki, amsifu kwa kazi nzuri
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Same Mashariki na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi mama Anne Kilango Malecela wakati alipowasili katika kijiji cha Maone akiwa katika ziara yake ya Kikazi yenye lengo la kukagua na kuhimiza utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza uhai wa Chama Cha Mapinduzi CCM ambapo alikagua mradi wa chuo cha ufundi cha Maone na kumsifu mbunge wa jimbo hilo Mama Anne Kilango kuwa ni Katapilla...
9 years ago
Habarileo12 Oct
Mkapa awapongeza Kikwete, NSSF
RAIS mstaafu Benjamin Mkapa amempongeza Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kusimamia utekelezaji wa ujenzi wa daraja la Kigamboni linalotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Dk Magufuli awapa pole Kikwete, Mkapa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Zaidi ya wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI - Airtel yazinduzi mnara wa pili UDOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Xo0SpqrF7E/VUKsKXlPpMI/AAAAAAAHUao/Xu0zraAuctc/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSuXIHP3ZuQ/VUKsKVRqL_I/AAAAAAAHUas/6Tq65ZnsvSc/s1600/unnamed%2B(27).jpg)