Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto amsifu Kikwete

MGOMBEA ubunge wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amepongeza mafanikio yote ya Rais Jakaya Kikwete, yaliyopatikana katika mkoa wa Kigoma katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete amsifu Mkapa

Rais Jakaya Kikwete, amempongeza Rais mstaafu Benjamin Mkapa, kwa kuchangia historia ya Tanzania kutokana na uamuzi wake wa kuchapisha hotuba alizozitoa katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake .

 

9 years ago

Habarileo

Mkapa amsifu Kikwete kwa UDOM

RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa amepongeza jitihada za Rais wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete kwa kutekeleza kwa vitendo dhana iliyokuwepo ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana amsifu Mama Salma Kikwete kuanzisha shule ya WAMA Nakayama

 Katibu Mkuu wa CCM, ADULRAHMAN Kinana akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA aliposimama kwa muda akitokea ziara ya Kisiwa cha Mafia kwenda Dar es Salaam. Alimpongeza Mama Salma Kikwete kwa kitendo cha kuanzisha shule hiyo yenye manufaa makubwa kwa watoto ya kike wanaotoka sehemu mbalimbali nchini kwenda kusoma hapo. Pia alitumia furssa hiyo kuwapongeza walimu wa shule hiyo kwa kazi kubwa wanaoifanya kiasi cha kufanikisha wanafunzi kufanya vizuri katika mtihani wa...

 

9 years ago

TheCitizen

Zitto is my witness, says Kikwete

President Kikwete said he started taking efforts to build the bridge when he was Minister for Foreign Affairs and International Cooperation with help from South Korea.

 

9 years ago

Mwananchi

Kikwete ampigia chapuo Zitto kiaina

Rais Jakaya Kikwete amesema alilazimika kufuatana na aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini wa Chadema kwa wakati huo, Zitto Kabwe kwenda nchi za Mashariki ya mbali,  kuomba misaada ya ujenzi wa barabara za Mkoa wa Kigoma na Daraja la Mto Malagarasi ili kuunganisha na Mkoa wa Tabora.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi Muislamu amsifu Papa, Kenya

Seneta muislamu nchini Kenya ametoa maoni yake kuhusu ziara ya papa Francis nchini Kenya kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kuwa kiongozi wa kanisa katoliki duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa amsifu JK kumaliza tatizo la maji Monduli

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amezindua mradi wa maji wa Bwawa la Leken katika Kijiji cha Selela uliogharimu Sh1.1 bilioni, huku akiupongeza uongozi wa Rais Jayaka Kikwete kwa kusaidia kuondoa tatizo hilo kwa binadamu na mifugo wilayani hapa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wenger amsifu sana kipa Petr Cech

Wenger amemlimbikizia sifa golikipa wake Petr Cech na kusema ni mmoja wa "magolikipa stadi zaidi kuwahi kuchezea soka Uingereza”.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani