Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkataba wa amani Mali wakubaliwa nusu

Baadhi ya wapiganaji na serikali wafikia makubaliano ya amani Mali, lakini wengine wataka muda zaidi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VITUKO UGHAIBUNI: JAMAA AZIGAWA MALI ZAKE NUSU KWA NUSU BAADA YA KUMWAGANA NA MKEWE

Baiskeli iliyokatwa na jamaa huyo. Gari hili nalo lilikatwa katikati kwa ajili ya kumaliza mgogoro kati ya jamaa huyo na mkewe. Video ya jamaa huyo akikata mali zake katikati. NJEMBA mmmoja nchini Ujerumani amezua sintofahamu baada ya kuamua kugawa nusu kwa nusu kila mali…

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan.K: Kusaini mkataba wa amani

Pande zinazozozana kwenye mgogoro wa Sudan Kusini zinatarajiwa kutia saini mkataba wa kusitisha vita mjini Addis Ababa Ethiopia

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkataba wa amani wa Sudan-K watarajiwa

Viongozi wa Afrika Mashariki wakusanyika Ethiopia kwa mkutano kuhusu mkataba wa amani wa Sudan Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkataba wa amani waafikiwa Sudan kusini

Mkataba wa usitishaji uhasama kati ya serikali na waasi nchini Sudan kusini waanza kutekelezwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiir aahidi kutekeleza mkataba wa amani

Akihutubu kupitia runinga ya taifa Kiir amesema amejitolea kufanikisha mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi uliopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni rasmi - Mkataba wa amani DRC na M23

Viongozi wa Maziwa makuu, akiwemo mwenyekiti wao Yoweri Museveni, wameidhinisha mkataba wa amani kati ya M23 na DRC jijini Nairobi

 

9 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir atia saini mkataba wa amani

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ametia saini makubaliano ya amani yanayonuiwa kumaliza mzozo uliodumu kwa muda wa miezi ishirini.

 

11 years ago

BBCSwahili

IGAD yaasa viongozi kutii mkataba wa amani

Wapatanishi Afrika Mashariki, wanafanya mazungumzo na wanasiasa kadhaa wa Sudan Kusini kusisitiza mkataba wa amani uliotiwa saini Ijumaa unatekelezwa ipasavyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makubaliano ya amani yaafikiwa Mali

Maafikiano ya amani yametiwa sahihi yakiwa na lengo la kumaliza mzozo wa miaka mingi kati ya serikali na waasi wa Tuareg.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani