Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mke wa kachero aliyeuawa akamatwa

4NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

SALOME Lukumay ambaye ni mke wa aliyekuwa kachero mkuu wa kitengo cha intelijensia cha Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA), marehemu Emily Kisamo, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa ajili ya mahojiano.

Mbali na Salome, taarifa zinasema jeshi hilo linawashikilia watu wengine wawili kwa ajili ya mahojiano juu ya kifo cha Kisamo.

Vyanzo mbalimbali vya habari jijini hapa wakiwamo baadhi ya marafiki wa marehemu Kisamo, waliiambia MTANZANIA kwa sharti la...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mauaji kachero wa Serikali gizani

liberatusi-saNA JANETH MUSHI, ARUSHA

SIKU tatu tangu Mkuu wa Idara ya Ulinzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Emily Kisamo, kuuawa kwa kuchinjwa na kichwa kutengenishwa na kiwiliwili, giza bado limetanda juu ya sababu za mauaji hayo.

Mwili wa marehemu Kisamo uliokotwa juzi katika eneo la Kikwarukwaru, Kata ya Lemara jijini hapa ukiwa umefichwa ndani ya gari lake.

Juzi Kamanda Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alipotafutwa kwa njia ya simu alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema...

 

10 years ago

Habarileo

Kachero Kenya atoa ushahidi kortini Dar

MKUU wa Uchunguzi wa Maandishi wa Jeshi la Polisi Kenya, John Kimani ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kuwa saini zinazodaiwa kusainiwa na Ramadhani Balenga katika hati ya uhamishaji umiliki wa kiwanja pamoja na mkataba wa mauziano ni za kughushi.

 

10 years ago

GPL

BERNARD MEMBE: KACHERO ANAYEWANIA URAIS ANAVYOFAA AU ASIVYOFAA

    Mh.Bernard Membe KATIKA mfululizo wa makala hizi zinazochambua wasifu wa wanasiasa wanaotarajiwa kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu 2015, leo ‘tunammulika’ Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Camillius Membe ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi, Kusini mwa nchi yetu. Kama tutakavyoona katika uchambuzi huu, huyu ni mgombea mwenye historia fupi lakini yenye kujaa...

 

11 years ago

GPL

ANGALIA KACHERO WA OFM AKITOA TAARIFA JINSI KIJANA ALIVYOFUMANIWA, AKAVISHWA KANGA, KUTEMBEZWA MITAANI

Jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Salum Athuman (22), alijikuta akivishwa kanga na kutembezwa mitaani baada ya kwenda nyumbani kwa mwanaume mwenzake, Dastun Mkereti (26) kwa lengo la kujivinjari na mke wa mtu, Stela Ramadhan (20), akafumaniwa. GLOBAL TV ONLINE KUPITIA KWA KACHERO WA OFM INAKUPA UHONDO!

 

11 years ago

Michuzi

MKE WA RAIS MAMA MWANAMWEMA AKUTANA MKE WA MFALME MUSWATI

Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Mama Mwanamwema Shein (kulia) akisalimiana na Mke wa Kwanza wa Mfalme Muswati wa Swasiland Mama Nomsa Matsebula,alipofika Ikulu ya Migombani na ujume wake leo,akiwa katika ziara ya siku mbili nchini. Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Mama Mwanamwema Shein (kulia) akizungumza na Mke wa Kwanza wa Mfalme Muswati wa Swasiland Mama Nomsa Matsebula,alipofika Ikulu ya Migombani na ujume wake...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA ALIYEFUNGA NDOA YA MKE MMOJA HAWEZI KUOA MKE WA PILI


Na Bashir YAkub
Sura  ya  29  Sheria  ya ndoa  imeeleza  mambo  mengi . Baadhi  yanajulikana  na  baadhi  hayajulikani.  Wakati  mwingine  hata  baadhi  ya yanayojulikana   haijulikani  kama  yameruhusiwa  na  sheria  au  yanafanyika  kimazoea.  Na  hapa  ndipo  inapoibukia  migogoro mingi  ambayo  tunayoshuhudia  mahakamani  na  hata nje  ya  mahakama. Aidha  sheria  hii  imebeba  mambo  mengi  ya  talaka, matunzo  ya  watoto  na  mwanamke, jinai  za  unyanyasaji  wa  kijinsia, ndoa  haramu ...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU?

NAMSHUKURU Mungu kunikutanisha tena na nyinyi marafiki katika uwanja wetu wa elimu ya uhusiano. Hujakosea kusoma makala haya maana hapa ndipo tunapojifunza masuala mbalimbali yahusuyo maisha yetu ya kila siku. Wiki iliyopita tulijifunza mada iliyokuwa inahusu nani anayestahili kuhongwa kati ya mwanaume na mwanamke. Bila shaka msomaji wangu ulipata elimu, kimsingi nilisema kila mmoja anapaswa kumheshimu mwenzake, kutobweteka na...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU-2

HATUNA budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutukutanisha tena katika uwanja wetu maridhawa wa kupeana darasa la uhusiano. Siku zote ukikubali kupokea na kufanyia kazi yale tunayopeana kila Jumamosi kupitia safu hii. Leo ni siku ya wapendanao (valentine‘s day). Ni vyema basi ukaitumia siku hii kutafakari na umpendaye. Kumpa zawadi, kutafuta sehemu tulivu na kujadili uhusiano wenu.Ifanye siku hii kuwa mwanga mzuri wa penzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani