Mkurugenzi, mkandarasi K’ndoni wabanwa ujenzi wa barabara
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ametoa wiki mbili kwa Mkurugenzi na Mkandarasi wa Manispaa hiyo kumpa ripoti ya ukiukwaji wa mikataba ya ujenzi wa barabara za manispaa hiyo kwa kiwango cha lami.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMkandarasi atii agizo la Rais, aanza ujenzi wa barabara Kigamboni
China Railway Construction Engineering Group (CRCEG) jana ilianza kazi ya kutengeneza kipande cha barabara hiyo, ikiwa ni siku chache baada ya Rais Magufuli kutoa agizo la kumaliza mgogoro wa kikandarasu na kukamilishaa mradi huo.Akizugumza wakati wa uzinduzi wa ofisi za Wilaya ya Kigamboni,. Rais...
5 years ago
Michuzi
RC MAKONDA AMTAKA MKANDARASI UJENZI BARABARA YA MABASI MWENDOKASI MBAGALA KUONGEZA KASI
RC Makonda amesema kwa muda mrefu wakazi wa Mbagala walikuwa wakipata changamoto ya usafiri ikiwemo foleni na wakati mwingine wananchi kuibiwa simu na mikoba wakiwa wanagombania usafiri...
11 years ago
Michuzi.jpg)
MAGUFULI AKAGUA DARAJA LA NANGOO PAMOJA NA UJENZI WA BARABARA YA NDUNDU —SOMANGA, AMPA MKANDARASI MIEZI MIWILI KUIKAMILISHA
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Ikulu yamsimamisha mkurugenzi K’ndoni
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Jumanne Sagini amemsimamisha
kazi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam, Mhandisi Mussa Natty ili asubiri uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Natty kuhamishiwa Babati mkoani Manyara kabla ya kurejeshwa Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Rais, TAMISEMI ilifafanua kuwa pamoja na kusimamishwa kazi, Mhandisi Natty...
10 years ago
MichuziMKURUGENZI WA KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA IRINGA GNSM ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA YATIMA TOSAMAGANGA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mkandarasi atakiwa kumaliza barabara kwa wakati
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amemtaka mkandarasi Kampuni ya J.V anayejenga barabara ya Makutano-Nyamuswa-Ikoma Gate, sehemu ya Makutano-Natta kilomita 50, kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha mradi huo...
10 years ago
Mtanzania04 Nov
Mkandarasi akimbia ujenzi wa mtaro
TUNU NASSOR NA ALLEN MSAPI, DAR ES SALAAM
MKANDARASI aliyepewa zabuni ya ujenzi wa mtaro wa maji uliosababisha mafuriko katika eneo la Buguruni kwa Mnyamani Machi, mwaka huu, ameutelekeza.
Mtaro huo ambao ulisababisha watu kuishi katika mazingira magumu, baada ya kuziba na maji kuingia kwenye makazi yao, ulimfanya Rais Jakaya Kikwete kufika eneo hilo na kutaka baadhi ya nyumba zivunjwe.
Akizungumza na MTANZANIA, Msemaji wa Manispaa ya Ilala, Tabu Shaibu, alisema mkandarasi huyo ambaye...
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Mkandarasi lawamani kujenga barabara chini ya kiwango Mtwara
11 years ago
Michuzi.jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
.jpg)
.jpg)