Ikulu yamsimamisha mkurugenzi K’ndoni
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Jumanne Sagini amemsimamisha
kazi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam, Mhandisi Mussa Natty ili asubiri uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Natty kuhamishiwa Babati mkoani Manyara kabla ya kurejeshwa Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Rais, TAMISEMI ilifafanua kuwa pamoja na kusimamishwa kazi, Mhandisi Natty...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Aug
Mkurugenzi, mkandarasi K’ndoni wabanwa ujenzi wa barabara
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ametoa wiki mbili kwa Mkurugenzi na Mkandarasi wa Manispaa hiyo kumpa ripoti ya ukiukwaji wa mikataba ya ujenzi wa barabara za manispaa hiyo kwa kiwango cha lami.
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Mkurugenzi wa habari Ikulu afungasha virago
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Rais Kikwete amuapisha Mkurugenzi mpya wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani Kombey Ikulu jijini Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam, Julai 25, 2015.
Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey akiweka sahihi kwenye hati baada ya kuapishwa kuwa kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam jana jioni, Julai 25, 2015.
Rais-uteuzi-tume ya uchaguzi.doc
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FcDCeGUPp78/VbPhEZNTnNI/AAAAAAAHr3k/F660l_hnDhY/s72-c/t%2B%25281%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AMUAPISHA MKURUGENZI MPYA WA UCHAGUZI BW. KAILIMA RAMADHANI KOMBEY JIONI HII IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-FcDCeGUPp78/VbPhEZNTnNI/AAAAAAAHr3k/F660l_hnDhY/s640/t%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jykz9iHNKk4/VbPhD408Z3I/AAAAAAAHr3c/0V0iPo1kn7E/s640/t%2B%25282%2529.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-8tL6wzTY-Pc/VbPQt28zHoI/AAAAAAAB27U/4oEGPIOLEJ8/s72-c/T1.jpg)
Rais Kikwete Amuapisha Mkurugenzi Mpya wa Uchaguzi Bwa.Kailima Ramadhani Kombwey Jioni hii Ikulu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-8tL6wzTY-Pc/VbPQt28zHoI/AAAAAAAB27U/4oEGPIOLEJ8/s640/T1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bxysfVZiPtM/VbPQwBKdZ7I/AAAAAAAB27c/fW8ahZHeMHA/s640/T2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-saVDgHA22Ks/VbPQ2bSR-lI/AAAAAAAB27k/lL0_iMOaWEY/s640/T3.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Ufisadi mkubwa Manispaa ya K’ndoni
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PHyjBmKI9K4/Vd71wO6nT6I/AAAAAAAH0Y0/-emk9ILJyYU/s72-c/k1.jpg)
RAIS AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI, MABALOZI WA TANZANIA UHOLANZI NA ZIMBABWE NA KUONANA NA MKURUGENZI MKUU WA BENKI YA NMB IKULU JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-PHyjBmKI9K4/Vd71wO6nT6I/AAAAAAAH0Y0/-emk9ILJyYU/s640/k1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OCQYlFJSu8E/Vd71wE0paOI/AAAAAAAH0Y4/oAHzXozn2m4/s640/k2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aKhBjAqhxas/VEi9ZdM7aSI/AAAAAAADKag/l-N6rTHTU88/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BIALA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU MSTAAFU WA UBA TANZANIA GENERAL ROBERT MBOMA NA UJUMBE WAKE, IKULU DAR.
![](http://4.bp.blogspot.com/-aKhBjAqhxas/VEi9ZdM7aSI/AAAAAAADKag/l-N6rTHTU88/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IC6VxJeIdms/VEi9ZvNBe1I/AAAAAAADKak/1Keyt947xk0/s1600/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na Mkurugenzi Mkuu mstaafu wa UBA Tanzania Generali Robert Mboma na ujumbe wake, Ikulu Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Ujumbe wa UBA Tanzania ulioongozwa na aliyekuwa Mkurugenzi wake Mkuu mstaafu, General Robert Mbomba, wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, jana Oktoba 22, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Ujumbe wa UBA Tanzania ulioongozwa na aliyekuwa Mkurugenzi wake Mkuu mstaafu, General Robert Mbomba...