Mkurugenzi wa habari Ikulu afungasha virago
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salvatory Rweyemamu amemaliza mkataba wake na kuondoka huku akiwashukuru watendaji kwa muda wote aliokuwa nao wakimsaidia Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Lj5uK_syq2U/VDD4OTiBgoI/AAAAAAAGn9k/t7lUMQw9Oh0/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
UHAMIAJI SPORTS CLUB YAIFUNGISHA VIRAGO IKULU SC
Timu ya soka ya Uhamiaji imeweka historia katika michezo ya SHIMIWI baada ya kuifunga timu ya soka ya Ikulu bao moja kwa bila katika mchezo wa mtoano uliofanyika viwanja vya Morogoro Sec. mjini Morogoro na hivyo kuitoa timu hiyo ya Ikulu katika mashindano ya SHIMIWI.
Mchezo huo wa aina yake uliochezwa kwa vipindi viwili vya dakika thelathini ulianza kwa kasi huku timu ya Ikulu ikijitahidi kushambulia lango la Uhamiaji kupitia mshambuliaji wake Salehe...
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Ikulu yamsimamisha mkurugenzi K’ndoni
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Jumanne Sagini amemsimamisha
kazi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam, Mhandisi Mussa Natty ili asubiri uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Natty kuhamishiwa Babati mkoani Manyara kabla ya kurejeshwa Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Rais, TAMISEMI ilifafanua kuwa pamoja na kusimamishwa kazi, Mhandisi Natty...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LtBD-*cP6YWFP4LGmuRvmOWJPYcZrqynBxzwEH4atM4BWGAb37MkXy9rfx8CnrxMtap1EJ*MxmRjUE4PhYOJ*qi/Slim.jpg?width=650)
SLIM AFUNGASHA SAMBUSA UKUMBINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FcDCeGUPp78/VbPhEZNTnNI/AAAAAAAHr3k/F660l_hnDhY/s72-c/t%2B%25281%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AMUAPISHA MKURUGENZI MPYA WA UCHAGUZI BW. KAILIMA RAMADHANI KOMBEY JIONI HII IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-FcDCeGUPp78/VbPhEZNTnNI/AAAAAAAHr3k/F660l_hnDhY/s640/t%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jykz9iHNKk4/VbPhD408Z3I/AAAAAAAHr3c/0V0iPo1kn7E/s640/t%2B%25282%2529.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Rais Kikwete amuapisha Mkurugenzi mpya wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani Kombey Ikulu jijini Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam, Julai 25, 2015.
Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey akiweka sahihi kwenye hati baada ya kuapishwa kuwa kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam jana jioni, Julai 25, 2015.
Rais-uteuzi-tume ya uchaguzi.doc
11 years ago
Habarileo28 Jun
Ikulu yakanusha habari za magazeti
SERIKALI imekanusha taarifa zilizoandikwa katika baadhi ya magazeti ya jana yakiwemo gazeti la Uhuru na Tanzania Daima. Habari hizo ni ile ya gazeti la Uhuru inayosomeka: “Bila kupitia JKT hakuna ajira serikalini” na iliyoandikwa na Mtanzania Daima yenye kichwa cha habari “Ikulu:Rushwa ya ngono imekithiri serikalini”
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-8tL6wzTY-Pc/VbPQt28zHoI/AAAAAAAB27U/4oEGPIOLEJ8/s72-c/T1.jpg)
Rais Kikwete Amuapisha Mkurugenzi Mpya wa Uchaguzi Bwa.Kailima Ramadhani Kombwey Jioni hii Ikulu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-8tL6wzTY-Pc/VbPQt28zHoI/AAAAAAAB27U/4oEGPIOLEJ8/s640/T1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bxysfVZiPtM/VbPQwBKdZ7I/AAAAAAAB27c/fW8ahZHeMHA/s640/T2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-saVDgHA22Ks/VbPQ2bSR-lI/AAAAAAAB27k/lL0_iMOaWEY/s640/T3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VxHnyNkDaqg/VaVmtK3flNI/AAAAAAAHpuY/rxDYZIj-gpY/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu Tanzania Breweries Limited atembelea vyombo vya habari
![](http://1.bp.blogspot.com/-VxHnyNkDaqg/VaVmtK3flNI/AAAAAAAHpuY/rxDYZIj-gpY/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2aQcJN_4amw/VaVmtFa0TqI/AAAAAAAHpug/deOTq8JCrLg/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Aug
Mkurugenzi Idara ya Habari( MAELEZO) atembelea vitengo vya Mawasiliano Serikalini
![](https://3.bp.blogspot.com/-sD8ZVd9p_Mo/U-ttQWIoc8I/AAAAAAABsQY/sDcpjk4WrhI/s1600/IMG_9656.jpg)
Afisa Habari wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Bw. Dennis Kiilu akimueleza jambo Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene (hayupo pichani) wakati wa Ziara ya Mkurugenzi huyo katika Vitengo vya Mawasiliano Serikalini yenye lengo la kuangalia utendaji kazi na ufanisi wa vitengo hivyo katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila siku leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Habari wa Wizara hiyo Bi. Fatuma Malende
![](https://1.bp.blogspot.com/-rQwCcA4ydH8/U-ttaXvmYHI/AAAAAAABsQg/dHC8rdvO8WA/s1600/IMG_9678.jpg)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah...