Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SLIM AFUNGASHA SAMBUSA UKUMBINI

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Salim Omary  ‘Slim’  hivi karibuni alitoa kali ya mwaka baada ya kufunga sambusa ukumbini na kuondoka nazo kwa kile alichodai hana wa kumpikia. Msanii wa filamu Bongo, Salim Omary  ‘Slim’ akifungasha sambusa hizo. Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita kwenye Ukumbi wa Akemi, Golden Tower, Posta jijini Dar ambapo kulikuwa na uzinduzi wa filamu ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi wa habari Ikulu afungasha virago

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salvatory Rweyemamu amemaliza mkataba wake na kuondoka huku akiwashukuru watendaji kwa muda wote aliokuwa nao wakimsaidia Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete.

 

10 years ago

GPL

SLIM APANDISHWA KIZIMBANI

Msanii wa filamu nchini, Salim Omary ‘Slim’. Na Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda BAADA ya ndoa kuvunjika, msanii wa filamu nchini, Salim Omary ‘Slim’ amedaiwa kupandishwa mahakamani baada ya mkewe, Asia kudai talaka. Chanzo makini kilisema kwamba, Slim alipandishwa kizimbani Jumatatu wiki hii katika Mahakama ya Mwanzo-Magomeni jijini Dar kwa madai ya talaka. Baada ya kuzipata habari hizo gazeti hili...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA SLIM YAVUNJWA MAHAKAMANI

IMELDA MTEMA/Mchanganyiko NDOA ya staa wa filamu nchini, Salim Mbegu ‘Slim’ na mkewe Asia Morgan imevunjwa rasmi na Mahakama ya Mwanzo ya Magomeni jijini Dar kufuatia mgogoro wa muda mrefu. Aliyekuwa mke wa staa wa filamu nchini, Salim Mbegu ‘Slim’, Asia Morgan akiwa katika pozi. “Mahakama hii imevunja baada ya mdai (mke) kusema hata iweje hawezi kurudi tena kwa mumewe huyo kutokana na kuwa na...

 

11 years ago

GPL

SLIM:MASTAA WA KIKE WANAJITONGOZESHA

Na Gladness Mallya
Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Slim Omar amefunguka kuwa mastaa wengi wa kike Bongo Movies wanajitongozesha wenyewe. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Slim Omar. Akifunguka kwa sharti la kutowataja majina wahusika, alisema anayo listi ndefu ya mifano ya wasanii ambao wanapenda kujitongozesha hivyo ni vyema wakaacha maana siyo tabia nzuri.… ...

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga kill jinx at last to take slim advantage

A late Nadir Haroub’s header ensured that Young Africans took a 1-0 advantage over Egypt’s Al Ahly in the CAF Champions League, first round, first leg match at the National Stadium yesterday.

 

10 years ago

GPL

ASIAN MORGANI: NITAMPA SLIM TALAKA!

Stori: IMELDA MTEMA/Risasi
MREMBO ambaye aliwahi kunyakuwa Taji la Unique Model, Asia Morgan ambaye pia ni msanii wa filamu anayechipukia, amefunguka kuwa endapo mwigizaji Slim Omary aliyekuwa mumewe hatampa talaka, atampa yeye. Msanii wa filamu Bongo anayechipukia, Asia Morgan. Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Asia ambaye alitengana na Slim akimtuhumu kuwa na wivu wa kupindukia, alisema licha ya kudai… ...

 

10 years ago

GPL

SLIM:SITASAHAU WAKWE WALIVYONIACHANISHA NA MKE WANGU!

KAMA ilivyo kawaida ya safu hii ya Kiti cha Moto, wiki iliyopita tulimleta kwenu staa wa sinema za Kibongo, Salumu Mbegu ‘Slim’ ambapo mlituma maswali kibao ambayo wiki hii anayajibu na kuyadadavua. UNGANA NAYE… Salumu Mbegu ‘Slim’. WANAYE
Nakupongeza sana kwa kazi yako, watoto wako wanaitwa nani na nani? Zakia Ramadhani, Singida, 0762155709
SLIM: Asante, watoto wangu ni Shufaa na Sakina....

 

10 years ago

TheCitizen

Maximo demands players to improve after slim win

Young Africans 1-0 victory over Thika United of Kenya on Wednesday brought satisfaction to fans, but the win drew only muted praise from head coach Marcio Maximo.

 

10 years ago

TheCitizen

Slim drop for Taifa Stars in latest Fifa rankings

>The National soccer team, Taifa Stars, has dropped two spots up on the latest Fifa rankings released yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani