Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi wa MTN ajiuzulu kufuatia faini Nigeria

Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya simu ya MTN Sifiso Dabengwa amejiuzulu kufuatia faini kubwa ya dola bilioni 5.2 iliyotozwa na Nigeria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yaipunguzia faini kampuni ya MTN

Nigeria imepunguzia faini kubwa ambayo ilikuwa imeipiga kampuni kubwa zaidi ya simu za mkononi barani Afrika MTN

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa Volkswagen ajiuzulu kufuatia ufichuzi

Mkuu wa Volkswagen Martin Winterkorn amejiuzulu baada ya habari kutokea kuwa magari ya kampuni hiyo yamekuwa yakichafua mazingira.

 

10 years ago

Africanjam.Com

RAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI



Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
Lakini alisema kuwa mamlaka yake hayaungwi mkono na kila mtu. Shirikisho la FIFA lilikumbwa na mgogoro wa kukamatwa kwa maafisa wake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkurugenzi wa Toshiba ajiuzulu!

Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Toshiba na makamu wake Hisao Tanaka atajiuzulu baada ya kampuni hiyo kusema kuwa alidanganya kuhusu faida iliyopata kwa kipindi cha miaka sita iliyopita

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais ajiuzulu ni baada ya kikao kizito Dodoma kufuatia mgongano wa kimaslai ndani ya Chama

kkk

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Rais wa Chama cha Msalaba Mwekundu  Tanzania (Tanzania Red Cross Society-TRCS), Dk. George Nangale (pichani), kwa habari zilizotufikia chumba cha Habari cha Mo dewji blog ni kuwa amejiuzulu nafasi yake hiyo.

Habari hizo zilibainisha kuwa, Dk. Nangale tayari amewasilisha barua rasmi ya kujiuzulu huku akikabidhi vitu muhimu ikiwemo funguo ya gari ambayo alikuwa akiitumia kama Rais ama Mwenyekiti wa Chama, katika makao makuu ya Red Cross, Mikocheni Jijini Dar...

 

9 years ago

BBC

Nigeria reduces $5.2bn MTN fine

Africa's largest mobile operator, MTN has succeeded in its bid to reduce a $5.2bn fine imposed by Nigerian authorities for failing to cut off unregistered users.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkurugenzi wa '50 Shades of Grey' ajiuzulu

Mkurugenzi wa filamu ya Fifty Shades of Grey ambayo imepigwa marufuku nchini Kenya, hatoendeleza uelekezaji wa misururu miwili

 

9 years ago

BBC

Nigeria telecom giant MTN fined $5.2bn

Nigeria's telecom regulator has fined MTN Nigeria $5.2bn for failing to disconnect all non-registered sim cards.

 

11 years ago

GPL

MEYA BUKOBA AJIUZULU, MKURUGENZI WAKE AVULIWA UONGOZI

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh akisoma ripoti ya ukaguzi maalum iliyowaondoa viongozi wa manisapaa Bukoba. MEYA wa Manispaa ya Bukoba, Anatory Amani amejiuzulu wakati Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Khamis Kaputa na wakuu  wa idara tatu ambao ni Mhandisi Nimzihilwa, Ofisa  Ugavi Baraka Marwa na Mweka Hazina Ulomi wakivuliwa uongozi baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani