Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria yaipunguzia faini kampuni ya MTN

Nigeria imepunguzia faini kubwa ambayo ilikuwa imeipiga kampuni kubwa zaidi ya simu za mkononi barani Afrika MTN

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mkurugenzi wa MTN ajiuzulu kufuatia faini Nigeria

Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya simu ya MTN Sifiso Dabengwa amejiuzulu kufuatia faini kubwa ya dola bilioni 5.2 iliyotozwa na Nigeria

 

9 years ago

BBC

Nigeria reduces $5.2bn MTN fine

Africa's largest mobile operator, MTN has succeeded in its bid to reduce a $5.2bn fine imposed by Nigerian authorities for failing to cut off unregistered users.

 

9 years ago

BBC

Nigeria telecom giant MTN fined $5.2bn

Nigeria's telecom regulator has fined MTN Nigeria $5.2bn for failing to disconnect all non-registered sim cards.

 

9 years ago

TheCitizen

Nigeria demands telecoms giant MTN pay fine as deadline expires

Nigeria said it was expecting telecoms giant MTN to meet a deadline for paying a record $3.9 billion fine which expires Thursday, despite the South African operator challenging the penalty in court.

 

9 years ago

Habarileo

Kampuni za simu zatozwa faini

NAIBU Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amebaini kuwepo kwa wafanyakazi wa kigeni, walioletwa na kampuni za simu za mkononi kufanya kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania ikiwemo kufunga meza na viti vya kukalia.

 

9 years ago

Habarileo

Kampuni 5 za simu zatozwa faini ya milioni 125/

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) imezitoza faini kampuni tano za simu za mkononi nchini, kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kuhakikisha uwepo wa usalama wa kiufundi na kisheria kwenye masuala ya taarifa zinazopitia kwenye mitandao yao. Kampuni hizo kila moja imetozwa faini ya Sh milioni 25.

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU ICHUNGUZENI KAMPUNI INAYOCHUKUA MAPATO YA FAINI ZA MAROLI- RC MAKONDA

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda (kushoto) akizungumza na watendaji wote wa Barabara katika ukumbi wa Anatoglo Mnazi Mmoja leo jijini Dar es Salaam,ampoa  Makonda aliitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuchungunguza Kampuni inayochukua  mapato ya faini  za Maroli na kulipa fedha zote ilizokusanya tangu mwaka juzi.  Meya wa Manispaa ya Ilala , Omary Kumbilamoto (kushoto) akizungumza na watendaji wote wa Barabara katika ukumbi wa Anatoglo Mnazi Mmoja leo...

 

5 years ago

Michuzi

Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda

Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI WA KAMPUNI INAYOJENGA RELI YA KISASA YAPI MARKEZ, AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA DOLA MILIONI 100 AMA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JERA


MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) akitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu baada ya kuhukumiwa kulipa faini ya dola milioni 100 ama kifungo cha miaka mitatu jera
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) raia wa Uturuki amehukumiwa kulipa faini ya USD milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani