Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO MAALUMU WA MAENDELEO NA KUTOKOMEZA MARALIA WAANZA RASMI

0fisa Habari wa Umoja wa Mataifa UN, Stella Vuzo(kulia) akizungumza jambo, pamoja na Ofisa Habari wa Idara ya Maelezo,Pius Yalula. Akitafakari kujibu maswali yaliyoulizwa na wanahabari (hawapo pichani).
Wanahabri…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO MAALUMU WA MAENDELEO NA KUTOKOMEZA MALARIA WAANZA RASMI

0fisa Habari wa Umoja wa Mataifa UN, Stella Vuzo(kulia) akizungumza jambo, pamoja na Ofisa Habari wa Idara ya Maelezo,Pius Yalula.Akitafakari kujibu maswali yaliyoulizwa na wanahabari (hawapo pichani).Wanahabri wakichukua tukio.
MKUTANO maalumu wa maendeleo na kutokomeza Maralia Barani Afrika umeanza rasmi leo Addis Ababa, Ethiopia.
Mkutano huo ulioanza rasmi leo, unatarajia kumalizika Julai 16 mwaka huu na unalengo la kujadili mikakati ya kuzikwamua nchi maskini kwa kuzichangia kimaendeleo...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile waanza mjini Nairobi,Kenya

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Profesa Mark Mwandosya ambaye alikuwa ni msemaji mkuu katika Mkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile (4th Nile Basin Development Forum) unaofanyika jijini Nairibi,Kenya akiwasilisha mada katika mkutano huo.Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Profesa Mark Mwandosya (kushoto) akifatilia mada mbali mbali zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano nhuo.Mawaziri wa Maji wa Bonde la Mto Nile waliohudhuria Mkutano wa Nne Jopo la Maendeleo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika waanza leo Victoria Falls-Zimbabwe

 

DSC_4474

Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Mh. Emmerson Mnangagwa  akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa mkutano wa tano wa  Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika  unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe. Ambapo amezitaka nchi za Afrika kuendelea kushikamana katika kukabiliana na mabadiuliko ya tabianchi pamoja na ukuaji wa uchumi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)

DSC_4488

Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa  Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF waanza rasmi leo jijini Arusha

Mgeni Rasmi katika Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Mwigulu Nchemba akitoa hotuba yake wakati akifungua mkutano huo unaofanyika kwenye ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa AICC,jijini Arusha kwa siku tatu mfululizo kuanzia leo Septemba 10 mpaka Septemba 12,2014.Katika hotuba yake hiyo,Mh. Nchemba wameutaka Mfuko wa PPF kuhakikisha wanapanua wigo kwa kuongeza wanachama wengi kutoka kwenye setka binafsi hasa wananchi wa kipato cha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kagame afungua rasmi mkutano wa mwaka wa Benki ya Maendeleo ya afrika (AfDB) unaofanyika jijini Kigali Rwanda

PIC 1 (2)

Baadhi ya Viongozi Wakuu wa Afrika waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ambao ulifunguliwa na Mh.Rais wa Rwanda Paul Kagame. Mh.Kagame katika hotuba yake alisisitiza kuzijengea uwezo sekta binafsi ili Afrika iweze kufikia uchumi wa kati kwa kipindi cha Miaka 50 ijayo. Aidha katika kufikia lengo hilo Rais Kagame alisema hatuna budi Afrika kuachana na Migogoro na kutekeleza kwa vitendo makubaliano yanayoafikiwa na Viongozi wa Afrika  ili kujenga uchumi imara...

 

5 years ago

Michuzi

WADAU WA MAENDELEO WAGUSWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTOKOMEZA MIMBA ZA MASHULENI

Mkuu wa  mkoa wa Arusha  Mrisho Gambo
Na Ahmed Mahmoud ArushaONGEZEKO la idadi  ya  wanafunzi wanaokatishwa  masomo  kwa kupewa  mimba limeibua hofu kwa  wadau  wa  maendeleo wa  ndani  na  nje  ya  nchi, ambao  baadhi  yao   wameshindwa  kuvumilia na kuamua  kuungana  na  serikali kusaidia  kukabiliana  na tatizo  hilo La Mimba kwa wanafunzi wakike.
 Na Miongoni wa  wadau  hao kutoka nje ya nchi ni pamoja na  wahisani Kutoka Nchi ya Korea  ambao   wamejitolea  kusaidia nakwa  Upande  wa ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pugu waanza kupata taarifa za maendeleo

WAKAZI wa Kata ya Pugu, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, hivi sasa wanapata taarifa za mapato na matumizi ya fedha za maendeleo kupitia mbao za matangazo kwenye ofisi za...

 

5 years ago

Michuzi

Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani wazinduliwa rasmi mkoani Katavi.

Na Mwandishi Wetu Katavi

Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani umezinduliwa rasmi mkoani Katavi.

Akizungumza wakati akizindua Msafara huo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Juma Zuberi Homera amesema kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikishamiri kila siku katika jamii zetu hivyo vinatakiwa kupatiwa mbinu ya kupambana navyo.

Ameongeza kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona wanawake na watoto wanafanyiwa vitendo vya kikatili hivyo itahakikisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani