MKUTANO MAALUMU WA MAENDELEO NA KUTOKOMEZA MARALIA WAANZA RASMI
0fisa Habari wa Umoja wa Mataifa UN, Stella Vuzo(kulia) akizungumza jambo, pamoja na Ofisa Habari wa Idara ya Maelezo,Pius Yalula. Akitafakari kujibu maswali yaliyoulizwa na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabri…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Jul
MKUTANO MAALUMU WA MAENDELEO NA KUTOKOMEZA MALARIA WAANZA RASMI
MKUTANO maalumu wa maendeleo na kutokomeza Maralia Barani Afrika umeanza rasmi leo Addis Ababa, Ethiopia.
Mkutano huo ulioanza rasmi leo, unatarajia kumalizika Julai 16 mwaka huu na unalengo la kujadili mikakati ya kuzikwamua nchi maskini kwa kuzichangia kimaendeleo...
10 years ago
MichuziMkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile waanza mjini Nairobi,Kenya
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Mkutano wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika waanza leo Victoria Falls-Zimbabwe
Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Mh. Emmerson Mnangagwa akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa mkutano wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe. Ambapo amezitaka nchi za Afrika kuendelea kushikamana katika kukabiliana na mabadiuliko ya tabianchi pamoja na ukuaji wa uchumi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)
Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ap0pun8CbA8/VBA2U4xW1gI/AAAAAAAGieo/WOuzas9MBKU/s72-c/24.jpg)
Mkutano wa 24 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF waanza rasmi leo jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ap0pun8CbA8/VBA2U4xW1gI/AAAAAAAGieo/WOuzas9MBKU/s1600/24.jpg)
11 years ago
Dewji Blog23 May
Rais Kagame afungua rasmi mkutano wa mwaka wa Benki ya Maendeleo ya afrika (AfDB) unaofanyika jijini Kigali Rwanda
Baadhi ya Viongozi Wakuu wa Afrika waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ambao ulifunguliwa na Mh.Rais wa Rwanda Paul Kagame. Mh.Kagame katika hotuba yake alisisitiza kuzijengea uwezo sekta binafsi ili Afrika iweze kufikia uchumi wa kati kwa kipindi cha Miaka 50 ijayo. Aidha katika kufikia lengo hilo Rais Kagame alisema hatuna budi Afrika kuachana na Migogoro na kutekeleza kwa vitendo makubaliano yanayoafikiwa na Viongozi wa Afrika ili kujenga uchumi imara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Az1Kj4V3yiA/Xkp8velAEMI/AAAAAAAAIGw/7C2SmrLAq3cZfdRseF8xYRvH3k8KWw_lwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0095.jpg)
WADAU WA MAENDELEO WAGUSWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTOKOMEZA MIMBA ZA MASHULENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Az1Kj4V3yiA/Xkp8velAEMI/AAAAAAAAIGw/7C2SmrLAq3cZfdRseF8xYRvH3k8KWw_lwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200216-WA0095.jpg)
Na Ahmed Mahmoud ArushaONGEZEKO la idadi ya wanafunzi wanaokatishwa masomo kwa kupewa mimba limeibua hofu kwa wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi, ambao baadhi yao wameshindwa kuvumilia na kuamua kuungana na serikali kusaidia kukabiliana na tatizo hilo La Mimba kwa wanafunzi wakike.
Na Miongoni wa wadau hao kutoka nje ya nchi ni pamoja na wahisani Kutoka Nchi ya Korea ambao wamejitolea kusaidia nakwa Upande wa ...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Pugu waanza kupata taarifa za maendeleo
WAKAZI wa Kata ya Pugu, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, hivi sasa wanapata taarifa za mapato na matumizi ya fedha za maendeleo kupitia mbao za matangazo kwenye ofisi za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XzHiUFEsZfM/XlQodgz5pnI/AAAAAAALfMI/ITicwX_ioHYJL8fFM9jC6vDmfnW75akeACLcBGAsYHQ/s72-c/1449ca8c-68eb-472a-94b8-80d7dd152563.jpg)
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani wazinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani umezinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Akizungumza wakati akizindua Msafara huo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Juma Zuberi Homera amesema kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikishamiri kila siku katika jamii zetu hivyo vinatakiwa kupatiwa mbinu ya kupambana navyo.
Ameongeza kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona wanawake na watoto wanafanyiwa vitendo vya kikatili hivyo itahakikisha...