MKUTANO MKUU WA TFF DISEMBA 19, 2015
Kikao cha Kamati ya Utendaji cha Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kilichokaa tarehe 06/09/2015 kilipanga tarehe ya Mkutano Mkuu wa TFF kuwa ni Disemba 19-20, 2015.Ajenda za Mkutano zitakuwa ni kwa mujibu wa katiba ya TFF.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-08jiFqBepxM/VnFxgLZmDHI/AAAAAAAIM2E/RCw6gXXNLVo/s72-c/pvg.png)
MKUTANO MKUU WA TFF WAAHIRISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-08jiFqBepxM/VnFxgLZmDHI/AAAAAAAIM2E/RCw6gXXNLVo/s640/pvg.png)
Mwishoni mwa mwezi Novemba 2015, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mkoa wa wa Ilala ulitoa agizo la kufungwa na kuchukuliwa fedha kutoka kwenye akaunti za Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) ili kulipa fedha zaidi ya shilingi bilioni 1.6, sehemu kubwa ikiwa ni malipo ya kutoka kwenye mishahara...
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Mkutano Mkuu TFF Des 19
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MKUTANO Mkuu wa kawaida wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), unatarajiwa kufanyika Desemba 19 na 20, mwaka huu.
Kikao cha Kamati ya utendaji cha Shirikisho hilo, kilichokutana Septemba 6 mwaka huu kimepanga kufanyika kwa mkutano huo huku ajenda zake zitatangazwa baadaye.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto, alisema ajenda hizo zitatolewa kwa mujibu wa Katiba ya TFF.
“Tunawataarifu wajumbe wa mkutano mkuu tarehe ya...
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Hofu yaghubika Mkutano Mkuu TFF
NA OSCAR ASSENGA
VIONGOZI wa Chama cha Soka Mkoa wa Tanga (TRFA), wameingiwa na hofu kuhusiana na Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), uliopangwa kufanyika katika Hoteli ya Regal Naivera, baada ya kushindwa kuelezea maandalizi yake.
Akizungumza mkoani hapa, Msimamizi wa Kituo cha Tanga na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF Mkoa wa Tanga, Khalid Abdallah, alisema wao hawawezi kuzungumzia maandalizi ya mkutano huo kwa sababu maelezo yanatolewa na Ofisa Habari wa TFF, Baraka...
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Vumbi kutimka mkutano mkuu TFF
10 years ago
Mwananchi01 Mar
MAONI: Mkutano mkuu TFF ujadili maendeleo
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Ndumbaro: Hatima yangu mkutano mkuu wa TFF mwakani
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wycmbTx22Yk/VUm_yGFezhI/AAAAAAAHVsQ/lN2fyQvsOv0/s72-c/coastal.jpg)
TFF yaiagiza Klabu ya Coastal Union kuitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama
![](http://2.bp.blogspot.com/-wycmbTx22Yk/VUm_yGFezhI/AAAAAAAHVsQ/lN2fyQvsOv0/s1600/coastal.jpg)
Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine ameiandikia barua Klabu ya Coastal Union akiiagiza klabu hiyo kuitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama tarehe 17 Mei mwaka 2015.
Matokeo ya maamuzi haya yamepatikana baada ya kikao cha usuluhishi cha amani kilichoongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Ahmed Iddi Mgoi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FPiZVG_Wxq8/VJsftirF2_I/AAAAAAAG5p8/NxzqJWn1eU4/s72-c/images%2B(1).jpg)
Wakili Damas Ndumbaro asema hatma yake TFF kujulikana kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho hilo mwakani
![](http://1.bp.blogspot.com/-FPiZVG_Wxq8/VJsftirF2_I/AAAAAAAG5p8/NxzqJWn1eU4/s1600/images%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ui8SHdAgqVU/VXhbrPxQJzI/AAAAAAAHegc/GgJWMhEAb9s/s72-c/unnamedm.jpg)
MKUTANO MKUU WA 104 WA SHIRIKA LA KAZI DUNIANI (ILO), GENEVA 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ui8SHdAgqVU/VXhbrPxQJzI/AAAAAAAHegc/GgJWMhEAb9s/s640/unnamedm.jpg)